Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,dah humu usikute tuna watoto wetuNdio mjuaji sana huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha,dah humu usikute tuna watoto wetuNdio mjuaji sana huyo
Oooh ahsante sana kaka!Kabisa, mimi my pc of choice nayotumia sana ina 1.8 ghz ina atom processor na ram 4 gb
😁😁 hapana mkuu, Mimi mbongo Pure Ila nipo tu kwenye group linaloshindana na mifumo iliyopo "Challenging the existing norms" ,We utakua sio mtanzania ,na kama ni mtanzania basi umewahi kuishi nje ya Tanzania, mawaza haya ni mageni kwa mtanzania
🙏🙏,hongera sana ,usitoke kwa hilo group,kwa post hiyo juu uko vzr😁😁 hapana mkuu, Mimi mbongo Pure Ila nipo tu kwenye group linaloshindana na mifumo iliyopo "Challenging the existing norms" ,
shukrani kwa compliment brother 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Shukrani sana brother 🙏🏽🙏🏽🙏🙏,hongera sana ,usitoke kwa hilo group,kwa post hiyo juu uko vzr
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpe muda aki-graduate na GPA ya 1st Class afu asipate kazi ndo atajua Dunia hada walimwengu shujaa!
Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secure, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo si maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
Mpe muda aki-graduate na GPA ya 1st Class afu asipate kazi ndo atajua Dunia hada walimwengu shujaa!
Kuna huyo mmoja nilikutana naye mahali akaanza kujitia ujuaji, ilibidi niwe namkubalia kila anachosema na akujua kuwa anayemfundisha ni expert aliyemzidi experience ya zaidi miaka kumi.Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe gmail, wi-fi, mitandoa ya simu atumie net bure, anakwambia gmail haiko secure, instagram anaweza kuhack.
Basi mimi namchora tu na kumkubalia.
Kila anachoona kwenye computer anasema usitúmie hicho tumia hiki ananitajia softwares ambazo si maarufu ili mradi vurugu tu.
Hapa kaniambia nisitumie chatgpt haina performance nzuri nitumie sijui flick.
[emoji23][emoji1787][emoji1787] punguza ujuaji ewe festi yiaKwahiyo ndio umeona uje kunisimanga huku au sio?
ChaiHakuna kijana wa IT akose ajira
Nipe miminaombeni mwanafunzi mmoja wa It kuna kazi nimpe
Kwahiyo ndio umeona uje kunisimanga huku au sio?