Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Tatizo wengi wetu tunafikiria ajira kupita kiasi na unamsubiri mtu aikose after chuo ili life limnyooshe ili upate kumuambia "si nilikuambia"
Nadhani hiyo energy ni vizuri ukamuelekeza ni wapi pa kuipeleka maana watu wa IT wanaojielewa hata bila ajira, bado wanaweza survive mjini fresh tu kama wakiwa wazuri kwenye vitu vinavyohitajika zaidi kama website na graphics
Nadhani hiyo energy ni vizuri ukamuelekeza ni wapi pa kuipeleka maana watu wa IT wanaojielewa hata bila ajira, bado wanaweza survive mjini fresh tu kama wakiwa wazuri kwenye vitu vinavyohitajika zaidi kama website na graphics