Usiombe ukutane na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza

Usiombe ukutane na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza

Nina jamaa ni IT, kila akiingia kwenye mtandao lazima atumie VPN na sio kwamba ni hacker wala nini.

Kuna muda too much information inakupa wasiwasi kwenye maisha
Hata mimi alisema kwanini naacha drvices zangu online muda wote wataniibia infos. Mimi nikamwambia hakuna info ambayo mimi naona ni ya maana sana au so sensitive kiasi cha kuogopa kuibiwa.
 
Hivyo ndivyo dunia ilivyo, nakumbuka kuna mwaka Telegram waliweka mzigo dolari nyingi, kibongobongo kama 500M kwa mwenye uwezo wa kuhack lakini hadi leo kimya! Lakini utakuta vitoto vinavyosomea IT vitakwambia inawezekana 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Mimi nimesoma IT
Mwaka wa kwanza nlisoma zile language nafika field mambo ni tofauti kabisa 🤔 tulikua tunafanya maintainance zaidi nikaswitch upepo nikajifunza maintainance kurudi field mambo ni tofauti tena!

Saivi najipatia mkate wangu wa kila siku ktk kitu ambacho sikukisomea
 
Mkuu hata sibishani naye kila kitu mimi namkubalia. Maana yuko bsy anachapa code za python hapa anasema akimaliza anataka atengeneze file zake za kupenetrate mtandao wa voda sasa alikuwa hajaijulia vzuri python likizo hii ndipo ameamua kupambana nayo.
Hichi kitu kinapotezea sana watu muda, nilikua nafanya hivi vitu chuo, mwisho wa siku ukijiangalia hata muuza Ice cream ana kipato kikubwa kuliko wewe, bora niliondoka tu mapema. Mshauri aachane na hio mentality, hata kama anacode inabidi awe na mentality za mfanyabiashara.
 
Hichi kitu kinapotezea sana watu muda, nilikua nafanya hivi vitu chuo, mwisho wa siku ukijiangalia hata muuza Ice cream ana kipato kikubwa kuliko wewe, bora niliondoka tu mapema. Mshauri aachane na hio mentality, hata kama anacode inabidi awe na mentality za mfanyabiashara.
Kufaidi hela za hii industry inachukua mda sana
 
Hichi kitu kinapotezea sana watu muda, nilikua nafanya hivi vitu chuo, mwisho wa siku ukijiangalia hata muuza Ice cream ana kipato kikubwa kuliko wewe, bora niliondoka tu mapema. Mshauri aachane na hio mentality, hata kama anacode inabidi awe na mentality za mfanyabiashara.
Hii ni kweli mkuu. Hata mimi nimefanya mambo mengi ambayo hayakuwa yananiingizia pesa kwa miaka mingi just to show watu my capabilities. Na yeye anajua mimi nilikuwa napenda sana haya mambo sasa hivi namwambia kuwa I am just a normal computer user tu.
Sema bado ana moto sasa hivi hawezi kunielewa
 
Mkuu hata sibishani naye kila kitu mimi namkubalia. Maana yuko bsy anachapa code za python hapa anasema akimaliza anataka atengeneze file zake za kupenetrate mtandao wa voda sasa alikuwa hajaijulia vzuri python likizo hii ndipo ameamua kupambana nayo.
Python... Unajua ukiwa first year ukitazama YouTube videos unahis utaweza kila kitu bila kujua kuna some tricks zinakuwa updated na ukija class mambo yanakuwa mengi sana na mwisho wa siku unaona bora utulie tu na mzuka wote unakata
 
Mkuu ulipiga kiasi gani?
Mwezi wa kwanza niliingiza 480 USD Na Baada ya hapo niliwaajiri madogo watatu na kila dogo nilimpa Pc pamoja na simu kwaajili ya hii kazi na hao wote wakipiga per day kwa kila mmoja ilikuwa si chini ya 90 USD so per day kwa madogo hao wote nilikuwa naingiza 200 mpaka 240 USD bt kuna cku wanazingua unakuta account zinafungiwa and so on ... Ilikuwa ukijisahau kidogo lazima Adsense wakupe Lock So kuna mda nawaambia wakaushe then wanapiga tena
 
Back
Top Bottom