Usiombe ukutane na mwanaume mvivu, nawe utakuwa mvivu vilevile

Usiombe ukutane na mwanaume mvivu, nawe utakuwa mvivu vilevile

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Mwandila mabestito,

Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.

Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.

Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?

Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.

KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU
 
Kabisa mkuu wala hujakosea wengine wanafugwa mno wasiguse kitu maotokeo yake wanaleta aibu ukubwani kwani wawezi kitu walishazoeshwa hivyo
malezi husababisha uvivu......
 
ladyfurahia
.Acha matusi, mwanaume akutafutie pesa, ule, uende chooni kumfulia c.huP.i iwe shida? basi mpe housgirl amfulie uone matokeo, mpende mmeo jitaidi kumng'alisha, yawezakua anashindwa kwa sababu za ubize na kuwaza vipi leo naingiza nini, inaonekana mme wako hata chai asubuhi hujichemshia yy wakat ww umelala, omba simjui tu.
 
Mwandila mabestito,

Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.

Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.

Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?

Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.

KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU

Wajibu wa mwanamke ni kumtunza mume lakini wewe mwanamke usieenda unyagoni (ila umeenda kidato) unawapotosha wanawake makini kuwa wawafurumushe wanaume wachafu,kama nafanya kaZi garage? Acha undorooooooooobo
 
Wakati ule waliosoma sayansi walikuwa wanajiweka wachafu makusudi ili waonekane wanasoma sana. Hata sehemu za kulala au kuishi hawawezi kusafisha.

Usela ukizidi unakuwa ujinga.
 
Nyie wanawake ndo mnapigania kwenda kazini na haki sawa( 50, 50)? Leo tena mnasema mnataka kazi zote zifanywe na wanaume? Mbona nyie viumbe vigeugeu hivyo?
 
Tatizo lako bestito ladyfurahia, unaandika kwa kukurupuka mnoooooooooooo! tuliza mawazo....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!! nicheke mie, leo siku yangu itakuwa muruaa, umerusha jiwe gizani mamito, ukisokia ng'wiiiiiiiiiiiiiiii ujue limempata.

kula like10000000000
 
Kabisa mkuu wala hujakosea wengine wanafugwa mno wasiguse kitu maotokeo yake wanaleta aibu ukubwani kwani wawezi kitu walishazoeshwa hivyo

Wewe utakua hujafuzu somo la kufundwa.

Yani umkute mwanaume mchafu, afu nawe nawe uruhusu nyumba iwe chafu! itabidi urudi kwa kungwi au walimwengu wakufundishe.
Baibo yangu inaniambia mwanamke ni msaidizi, pia inasema "mwanamke mpumbavu, huivunja ndoa yake mwenyewe.
 
Huwa makungwi wengi ndoa ziliwashinda mda....
Sijui huwa wanapataje courage kufunda wakati wao ni failure tu!
 
Kimewatouch na kimewauma ndo maana mnajiachia hapa si mngepita tuu
huwa makungwi wengi ndoa ziliwashinda mda....
Sijui huwa wanapataje courage kufunda wakati wao ni failure tu!
 
Asanteeeeeeeeeeeeeeeee bestito wameingia na kuanza kubwatuka hovyo umeona pale juu wanavyosema utazani wamewekewa morta midomoni na kwenye vidole vya mikono yao eti nimekurupuka kuandika wakati nimewapa funzo tosha wanajibwayabwaya shosti waangalie kule juu wanavyojichanganya utadhani bendera ya kijani hakaaaaahakakahahahahahahaaaaaaaaaaa limewauma khehkheeeeeeeeeeeeeeee
hahahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!! Nicheke mie, leo siku yangu itakuwa muruaa, umerusha jiwe gizani mamito, ukisokia ng'wiiiiiiiiiiiiiiii ujue limempata.

Kula like10000000000
 
Nyie wanawake ndo mnapigania kwenda kazini na haki sawa( 50, 50)? Leo tena mnasema mnataka kazi zote zifanywe na wanaume? Mbona nyie viumbe vigeugeu hivyo?

Mkuu, yaaani hawa viumbe inatakiwa kuishi nao kwa akili vinginevyo utafanywa button. Leo anasema hivi kesho anasema vile, na wanategemea/wanataka u_comply!
 
Uliopoona nimetukana wapi limewagusa ndomana mnajazba
mnavyotusema siye mnadhani hatuoni huu ndo mwanzo nitaingia gia namba 2 tena muda si mrefu
ladyfurahia
.acha matusi, mwanaume akutafutie pesa, ule, uende chooni kumfulia c.hup.i iwe shida? Basi mpe housgirl amfulie uone matokeo, mpende mmeo jitaidi kumng'alisha, yawezakua anashindwa kwa sababu za ubize na kuwaza vipi leo naingiza nini, inaonekana mme wako hata chai asubuhi hujichemshia yy wakat ww umelala, omba simjui tu.
 
Back
Top Bottom