Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
as long as nimekuoa nikakupa cheo cha Mrs fulani nimekupa kiki kubwa sana lazima uihangaikie bibie with pregnancy as an exception. lakini kama ni girlfriend kwangu naona si vizuri kumtumikisha maana kuna wanaume wenzangu manzi hata haujatangaza uchumba unakata makofi unamfanya hausigeli hapo hapo anasoma chuo kwa dada zangu guys like this hawana mipango endelevu na nyie na nyie
Camoooon!! Umempa "kiki" !!!!??? Like serious!! No wonder ndoa za siku hizi ni majanga plus plus