ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
- Thread starter
- #61
labda wewe mwenyewe na mkeo ndo unayempeleka kufanyiwa vitu hivyo
sio wanawake wote acha kujinasua hapa wakati nyie mnaongoza kwa UVIVU uliopindukia mtabakia na kutaka mlishwe kwa ajiili ya uvivu uliowabemenda kiasi hicho
BADILIKENI HAMJIONI MNAJIBWABWAJA KIMEWATOUCH HICHI KIUZI NA BADO NDO KWANZAAA NI ALFAJILI HII NGOJA NAWEKA KITUMBUA KINGINE HAPA NDO MTAISOMA NAMBA NYIE
sio wanawake wote acha kujinasua hapa wakati nyie mnaongoza kwa UVIVU uliopindukia mtabakia na kutaka mlishwe kwa ajiili ya uvivu uliowabemenda kiasi hicho
BADILIKENI HAMJIONI MNAJIBWABWAJA KIMEWATOUCH HICHI KIUZI NA BADO NDO KWANZAAA NI ALFAJILI HII NGOJA NAWEKA KITUMBUA KINGINE HAPA NDO MTAISOMA NAMBA NYIE
Hadi kucha na waxing(nywele za maku) wanafanyiwa huko na watu...then wanakuja kusema sisi ni wavivu..!