Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,105
Asanteeeeeeeeeeeeeeeee bestito wameingia na kuanza kubwatuka hovyo umeona pale juu wanavyosema utazani wamewekewa morta midomoni na kwenye vidole vya mikono yao eti nimekurupuka kuandika wakati nimewapa funzo tosha wanajibwayabwaya shosti waangalie kule juu wanavyojichanganya utadhani bendera ya kijani hakaaaaahakakahahahahahahaaaaaaaaaaa limewauma khehkheeeeeeeeeeeeeeee
Yaani leo humu povu zitaruka kama wametafuna omo, hahahaha!!!!!! umewapa ukweli tena zaidi ya ukweli.