Usiombe ukutane na mwanaume mvivu, nawe utakuwa mvivu vilevile

Usiombe ukutane na mwanaume mvivu, nawe utakuwa mvivu vilevile

Mwandila mabestito,

Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.

Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.

Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?

Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.

KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU

Uvivu kwa mwanamke au mwanamke,wrote hawa mmoja wao akiwa mvivu ni HASARA
 
kweli bestito kwa mwanamke na mwanaume pia ukiwa MVIVU ni majanga tu na unajireletea magonjwa na kuwa duni katika maisha yako umeongea kweli na umenigusa mkuu bestito wangu maana wengine hapa wamekuja na kulalama tu ohooo unatuambia sisi wavivu kwa wakati kweli ni wavivu

asante mkuu wangetokea 5 kama wewe tungesonga mbele kufuta adui huyu UVIVU
Uvivu kwa mwanamke au mwanamke,wrote hawa mmoja wao akiwa mvivu ni HASARA
 
ladyfurahia naomba majibu...mbona unakimbia maswali yangu?
Bestito nijibu;

1. Kucha zako unasafisha mara ngapi kwa wiki? Ni nani anakufanyia usafi wa hizo kucha, mwenyewe au wale vijana/ manicure & pedicure centers.



2. Nywele zako unaosha mara ngapi kwa wiki? Hata kama sio wewe inayeziosha(coz najua wengi wenu hamna blowers & driers nyumbani) lakini je kwa wiki unaziosha mara ngapi?



3. Ukisuka au kuweka weaves, unafumua baada ya wiki ngapi?



4. Pichu unabadilisha mara ngapi kwa siku? Ukiwa hedhi unabadilisha pad mara ngapi kwa siku?



Nijibu coz tunaongea usafi, usione aibu!
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe una nini kwani hujaona huko juu umejibiwa unataka hujibiwije nitamwita mtambuzi hapa endelea kuni:spy:


Huna lolote, maswali manne rahisi yamekushinda...unapokosoa wenzako, jichunguze kabla!!
 
Waachae wachague kazi.Siku hizi kuna ndoa za jinsia moja.Wasubiri waolewe na wanaume wenzao ndo wataosha vyombo na kudeki.Halafu vitu vingine,unafanya kwa upendo tu.Siyo kwa kuwa umeoa basi hata ma..ko uoshwe.Khaaa
 
Huwaga siongei na watu walioshindikana kama wewe naona unalako kifyatue kule achana na nyuzi za watu sio unasarandia tu hapa fyuuuuuuuuuuuuuuu
huna lolote, maswali manne rahisi yamekushinda...unapokosoa wenzako, jichunguze kabla!!
 
Huwaga siongei na watu walioshindikana kama wewe naona unalako kifyatue kule achana na nyuzi za watu sio unasarandia tu hapa fyuuuuuuuuuuuuuuu


Hapa umenena! Una akili sana we mwanamke! Nyuzi za watu kina nani?
Haya kimbia ukaoshe nywele hizo, zaidi ya mwezi hujaziosha..au umesuka hadi zinatoa harufu hujafumua...haya fanya shaa ukafumue!!
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
uvivu wa mamabo mengine bestito sio wa bedroom kwani
kwani kule kusofu wako wavivu huko best yangu
mie nikajua uvivu wa bedroom bana
 
Mwandila mabestito,

Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.

Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.

Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?

Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.

KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU

Washing machine na housegirl watafanya nini?
 
Hapa umenena! Una akili sana we mwanamke! Nyuzi za watu kina nani?
Haya kimbia ukaoshe nywele hizo, zaidi ya mwezi hujaziosha..au umesuka hadi zinatoa harufu hujafumua...haya fanya shaa ukafumue!!

Jamani my ex, plz lets go.
 
as long as nimekuoa nikakupa cheo cha Mrs fulani nimekupa kiki kubwa sana lazima uihangaikie bibie with pregnancy as an exception. lakini kama ni girlfriend kwangu naona si vizuri kumtumikisha maana kuna wanaume wenzangu manzi hata haujatangaza uchumba unakata makofi unamfanya hausigeli hapo hapo anasoma chuo kwa dada zangu guys like this hawana mipango endeleu na nyie na nyie
 
as long as nimekuoa nikakupa cheo cha Mrs fulani nimekupa kiki kubwa sana lazima uihangaikie bibie with pregnancy as an exception. lakini kama ni girlfriend kwangu naona si vizuri kumtumikisha maana kuna wanaume wenzangu manzi hata haujatangaza uchumba unakata makofi unamfanya hausigeli hapo hapo anasoma chuo kwa dada zangu guys like this hawana mipango endelevu na nyie na nyie
 
Back
Top Bottom