ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
ladyfurahia post #54 hujanijibu...
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hapa najifunza ili nami nianze zoezi la ndoa.
ladyfurahia post #54 hujanijibu...
Mwandila mabestito,
Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.
Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.
Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?
Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.
KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU
Uvivu kwa mwanamke au mwanamke,wrote hawa mmoja wao akiwa mvivu ni HASARA
Bestito nijibu;
1. Kucha zako unasafisha mara ngapi kwa wiki? Ni nani anakufanyia usafi wa hizo kucha, mwenyewe au wale vijana/ manicure & pedicure centers.
2. Nywele zako unaosha mara ngapi kwa wiki? Hata kama sio wewe inayeziosha(coz najua wengi wenu hamna blowers & driers nyumbani) lakini je kwa wiki unaziosha mara ngapi?
3. Ukisuka au kuweka weaves, unafumua baada ya wiki ngapi?
4. Pichu unabadilisha mara ngapi kwa siku? Ukiwa hedhi unabadilisha pad mara ngapi kwa siku?
Nijibu coz tunaongea usafi, usione aibu!
ladyfurahia naomba majibu...mbona unakimbia maswali yangu?
hivi wewe una nini kwani hujaona huko juu umejibiwa unataka hujibiwije nitamwita mtambuzi hapa endelea kuni:spy:
huna lolote, maswali manne rahisi yamekushinda...unapokosoa wenzako, jichunguze kabla!!
Huwaga siongei na watu walioshindikana kama wewe naona unalako kifyatue kule achana na nyuzi za watu sio unasarandia tu hapa fyuuuuuuuuuuuuuuu
mie nikajua uvivu wa bedroom banaKabisa mkuu wala hujakosea wengine wanafugwa mno wasiguse kitu maotokeo yake wanaleta aibu ukubwani kwani wawezi kitu walishazoeshwa hivyo
mie nikajua uvivu wa bedroom bana
Mwandila mabestito,
Yaani leo nimesoma kada moja hapa ambayo imenipa simanzi ya aiana yake kiasi kwamba imenibidi niandike hichi kitu hapa kwani sijawahiI ona sijawahi sikia na sijawahi kushangazwa kiasi hichi mwanaume aliumbwa kufanya kazi zote za dunia hii hakuwambia kuwa achague kazi yenye uhalali kwake toka kwa Mungu lakini leo imenishangaza kuona wanaume hasa vijana wanachagua kazi na kusema kazi fulani ni za wanawake.
Wewe ulilona wapi kuna kazi za kike na za kiume, Imenibidi nishangae kama sio kushtushwa na vioja vyao wanaume. Kwani aliyekuwa wa kwanza kuumbwa ni nani na nani akaambiwa afanye na ajichanganye dunia kwa kila kitu? Mbona mnakataa majukumu yenu mbona amnajifanya hamnazo kijana kabisa anajiongeza na kusema yeye hawezi kufanya kazi ya kupiga deki, kuosha, na kujifulia nguo kisa uvivu na uzembe.
Wewe shosti ukionana na kijana cha aina hiyo kipishie mbali yaani shostito kihame kabisa na kimeo chako kisarandie kabisa maana kitakufanya na wewe uwe mvivu mashosti wangu nawapa somo hapa kimbieni mkiona vijidume vya aina hiyo ambavyo ni uvivu hata kufua nguo ya ndani anakaa nayo mwezi mzima si uvundo huo ndani ya nyumba utatamani ardhi ipasuke wewe kufuli lako kulifua mpaka december ndo unafua yaani unanuka mpaka watu wanasema huyu kala nini?
Hebu wanaume mjirekebisheni uvivu ni ugonjwa kabisa mnakaribisha matatizo kama sio majanga ndani yenu kuweni watu wasafi jamani mtu ukiomuona kwa nje ananata lakini ingia kwake utaomba urudi kinyumenyume huu unishauri tu jirekebisheni. Mashosti zangu mkiona wanaume wa aina hiyo wasepeni tu hawafai kwa kanga wala kwa alzeti achaneni nao hao hawawafai kabisa.
KWANI MTU MVIVU HATA NAWE UKIWA NAWE ATAKUFANYA UWE MVIVU
Washing machine na housegirl watafanya nini?
Hapa umenena! Una akili sana we mwanamke! Nyuzi za watu kina nani?
Haya kimbia ukaoshe nywele hizo, zaidi ya mwezi hujaziosha..au umesuka hadi zinatoa harufu hujafumua...haya fanya shaa ukafumue!!
Washing machine na housegirl watafanya nini?