huku dawa zinatembezwa madumu kwa madumu zinatibu magonjwa 800 raha tupu
........Tazama daraja la kigamboni tulivyotapeliwa. Huwezi kujenga daraja kama hili ili yapishane magari mawili. hapo ni lazima yawe yanapisha magari manne. Halafu daraja hili ni jembamba sana haliwezi kukidhi haja ya wingi wa magari tanzania. hapa New York city, kuna daraja la brocklyn linalounganisha manhatan na broklyn. lilijengwa mwaka 1958 likiruhusu magari nane kupisha. Yaani maane upande mmoja na manne upande mwenginewe. Halijawahi kuwa kero tangia mwaka 1958. sasa wewe angalia hilo la kigamboni.
Limeanza kuwa kero kabla ya hata kumalizika. halafu sijaona njia za wapita kwa miguu zikiwa pana au pengine hazipo. unaona hatari yetu sisi wabongo. Upo tayari kuiba pesa bila kujali madhara yatakayotokana na wizi wako. Hapo magari yakigongana basi abilia wote watazama kirahisi kwa wembamba wa barabara.
......huku kama umejikata, kutoa jino, operation ndogo, kukamuliwa jipu, kuna dawa za pain killer, ambazo unapewa kufuta maumivu. Utamu wa dawa hizo na raha yake, ni mara tano ya kulala na msichana. Je bongo dawa hizo zipo kweli ?
Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu unakutwa na drama lote hilo.kuishi paycheck to paycheck no heri urudi bongo
karibuni huku kama una ka kitambi flani unajifanya afisa usalama na kabastola chako feki unapiga hela za kutosha, jioni twanga pepeta pale mango gdn na unaitwa pendeshee, karibuni home:glasses-nerdy:
nDIO MAANA mAREKANI NI nCHI TAJIRI KUPITA ZOTE DUNIANI. nA sISI NI MASIKINI KUPITA NCHI ZOTE ZILIZOFUATA UKOMUNISTI. Kulipa nyumba na bili za simu, maji, umeme ni lazima kwa kila mpangaji. Tena hakuna excuse. Ila ukiwa na matatizo ya kuachishwa kazi na unakabiliwa na matatizo mengi kimaisha , kuna mahali kwingi sana sana kwenda kupata misaada. Hapa New York city,, kuna sehemu inaitwa workforce, hapo unapewa food stamp na kucollect unemployment wages kwa siku kadhaa. Hakuna shida kabisaa wala Njaa hapa marekani. labda huyo dada alikuwa kazini wiki moja tuu na hakumaliza three months probabation.
wewe usiombe kuishi marekani. Mwarabu wa saudi, Iraq, Bahrain, UAE na Libya, anafanya bahati nasibu ya Gree card masaa 24 ili aje aishi marekani ingawa nchi zao huzalisha pesa utafikiria wanatungua na makota mtini.
Hakuna mtu asiyependa kurudi tanzania. Ila upatikanaji wa kazi ni finyu na madawa ya kujitibu ni fake sana, je hili linavutia kweli kuja tanzania?huku kama umejikata, kutoa jino, operation ndogo, kukamuliwa jipu, kuna dawa za pain killer, ambazo unapewa kufuta maumivu. Utamu wa dawa hizo na raha yake, ni mara tano ya kulala na msichana. Je bongo dawa hizo zipo kweli ? na kama zipo si zitakuwa fake. mimi nemishi dar, sasa nataka nikirudi, nikaishi Sumbawanga au katavi, je ni raisi kupata kazi huko au ndo nilazimike kuja ishi dar tena?
Kuishi uropa siyo kuukata hasa kwa wale waliokwenda kule bila mipangilio ya uhakika. Heri warejee makwao wakapige nguna maana hakuna kitu kinachouma kuona watu wanavyodhalilika hasa akifa mmojawapo kwa kuchangishana.
wanang'ang'ania kuona maghorofa....majumbani wakisimulia BT yupo marekani full ujiko
Kama husomi na huna kazi ya maana unang'ang'ania nje kwa sababu Bongo kama huna elimu na huna kazi nzuri maana yake unasukuma mkokoteni Tabata Dampo... bora kulea wazee mbele huko
Hivi haya yanatuhusu kweli jamani? nahisi ungepeleka kwa U turn kule.
Tanzania kuna matibabu gani ya maana? Tanzania watu hawaishi kwa mashaka na kubahatisha? Ikija kwenye huduma za afya Tanzania iko nyuma vibaya mno. Watanzania wangapi wanakufa vifo kwa ajili ya magonjwa yanayoweza kuepukika? Ni wengi mno! Healthcare system ya Tanzania ni janga.
Katika hilo la health system ya Tanzania wala sikubishii sana mkuu. Suala hapa ni je, kuna haja gani ya kung'ang'ania kuishi marekani au ulaya kama ukiumwa 2 weeks tu basi inalazimu marafiki wakuchangie ili uweze kulipa kodi na bills nyingine za kawaida? Huko marekani na ulaya kwenu mie nafurahia kuja muda mfupi na kurudi zangu bongo. Pamoja na shida tulizonazo bongo, kwa ujumla kuna chembechembe za raha!
Kuliko nikashike shike vizee nje bora nikakaange samaki ferry!