mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
kila nikiwaza kwenda wanakokuita ulaya au marekani kutafuta maisha naona ni uzushi mtupu.....
unakuta mtu ametoka bongo 10yrs ago lakini maisha anayoishi huko ya kubahatisha hata bahati mbaya akifa anazikwa na serikali....
Nadhani maisha yako wewe Natalia yanasomeka! hao wanachangisha wapate kuishi waambie waje tukalime mihogo na matikiti maji kimanzichana mashamba bwerereeeeeeeeeeee
unakuta mtu ametoka bongo 10yrs ago lakini maisha anayoishi huko ya kubahatisha hata bahati mbaya akifa anazikwa na serikali....
Nadhani maisha yako wewe Natalia yanasomeka! hao wanachangisha wapate kuishi waambie waje tukalime mihogo na matikiti maji kimanzichana mashamba bwerereeeeeeeeeeee