Kazi ni kazi tu ili mradi inakupatia riziki yako kiuhalali. Kuanza kuponda ajira za wengine ni dalili inayo reveal mapungufu ya nafsi. Sasa sijui kuna ubaya gani kuwa na kazi ya kuwahudumia wazee hadi wewe uonyeshe dharau juu yake!
Hahaa wewe Mwajei wewe! Wangapi bongo wanakufa kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu bana? Watu hao utawaambia nini sasa? Msitake kuipamba bongo ionekane kama vile ina unafuu wa maisha wakati hali ni ngumu beyond belief! Bongo hakuna unafuu wowote ule katika sekta yoyote ile.
wangapi wapo full time kazini?usa Location ni neighborhoodHealth insurance inalipwa kazini automatically na car insurance ni kitu rahisi kama huna tickets ..... like 600$ a year, most two bedroom apts are like 500$ a month, wakati apartment ya 1000$ bongo haina choo cha kuvuta ... maji hayapandi.
Gas litre moja ni 1200 wakati bongo ni 2000 na zaidi ... phone bill is like 50$ unlimited calls & text, wakati bongo elfu themanini unlimited calls & txt unawUeza maliza wiki mbili ... nilikuwa nachanja 5000 kwa siku.... hapo bila internet.
Vitu vingi ambavyo masikini wa US wanaaford, msomi ofisa wa bongo ni kama luxury, like a show off thang.
Tanzania cash .usa credit card kutwaa40 million Americans have no health insurance, don't they have jobs to cover their insurance?
Vitu vingi vitu gani, taja kimoja ambacho ofisa wa Bongo anashindwa ku afford halafu illiterate wa USA anaweza. Naanza mimi kutaja, ofisa wa Bongo anajenga nyumba, masikini wa US anaweza kujenga au kununua nyumba cash?
Nyumba USA Za mikopo.mtu unachukua mkopo wa nyumba laki 4 tuseme haya down 5000 haya by the time loan hii ukimaliza ni unamiaka 70 na interest maintenance taxes nyumba hiyo utajukuta umeilipia for almost one million .sasa hapo kwa nini usijenge tu bongo kupoteza muda pesa an stress ambazo mtakufa na heart attach40 million Americans have no health insurance, don't they have jobs to cover their insurance?
Vitu vingi vitu gani, taja kimoja ambacho ofisa wa Bongo anashindwa ku afford halafu illiterate wa USA anaweza. Naanza mimi kutaja, ofisa wa Bongo anajenga nyumba, masikini wa US anaweza kujenga au kununua nyumba cash?
Hana insurance?
Nyumba gani hiyo Marekani inalipwa deni ndani ya miaka kumi? Si kila mtu na shangazi yake angekuwa na nyumba. Nambie uliweka down kiasi gani na interest ni kiasi gani na bei ya nyumba ni ngapi na uliinunua Marekani ya wapi hiyo nyumba? Unless ni trailer park la kuvuta na lori.
Wastani wa miaka ya kulipa deni la nyumba Marekani ni miaka thelathini na ushee, sio kumi ishirini, tuambiane ukweli jamani.
Na sio kila mjenzi Tanzania ana akaunti ya wizi Uswizi. Ukisema kujenga Tanzania lazima uibe basi huijui Tanzania.
Brocklyn na Broklyn ndio nchi gani hizo mkubwa?
Naomba msinitishe mwenzenu hapa nina tiketi ya kuelekea huko.............!!! Ohooooooo tusiharibiane image jamani.
Wakizaa wanarudisha watoto Tanzania .mchango wa harusi ndio down payment ya nyumba.kila nikiwaza kwenda wanakokuita ulaya au marekani kutafuta maisha naona ni uzushi mtupu.....
unakuta mtu ametoka bongo 10yrs ago lakini maisha anayoishi huko ya kubahatisha hata bahati mbaya akifa anazikwa na serikali....
Nadhani maisha yako wewe Natalia yanasomeka! hao wanachangisha wapate kuishi waambie waje tukalime mihogo na matikiti maji kimanzichana mashamba bwerereeeeeeeeeeee
Natalia umefulia tu rudi bongo uje kulima viazi mabwepande!!! Mbona watu tunawajua wapo huko manhanhe bruklin uptown bmg londoni wanakimba mbaya kama stoper rhymes wa faya atown.
Mimi mtoto wa fisadi huniwezi.my husband is white rich American sina stress Za kutafuta .sijui haya bill ya umeme inalipwaje .my job is makeup shopping and have fun and play with my 3 children .huyo mtoa mada si mwelevu wa maisha ya DUNIAN na utakuta mtu anae Ongea ivyo yy.KAPELEKWA NA DADA NA SHEMEJI ZAKE WAPO HAPO KALIBU..NDIO MAAANA ANAMUONA HUYO MKENYA KAMA NI MJINGA FULANI kuugua nikitu cha kawaida duniani kote hata hapa BONGO watu huenda kwa Waganga au kula MWAOLUBAINI ni ukosefu wa kipato sio wanapenda hapa wengi wanategemeana HUKO SIO IVYO nakusii MTOA MADA OGOPA KAULI YAKO
Si kweli hapo sikubaliani na wewe hata kidogo. Bongo hali yaweza kuwa ngumu lakini si ngumu beyond belief.
Mimi mtoto wa fisadi huniwezi.my husband is white rich American sina stress Za kutafuta .sijui haya bill ya umeme inalipwaje .my job is makeup shopping and have fun and play with my 3 children .
NN usinielewe vibaya, wala sijadharau kazi ya yeyote yule. Nimejisemea kwa upande wangu kwa kulinganisha hizo kazi mbili ni ipi nitakuwa more satisfied kuifanya regardless of how much I'm gonna earn from each.
Hali ni ngumu beyond belief. Njoo huku Dumila ujionee jinsi watu waishivyo.
Tatizo la kukariri ni kuwaweka watu kwenye fungu moja. Si kila mhamiaji anahudumia wazee licha ya kutokuwepo na ubaya wowote wa hiyo kazi.
mkija, pitilizieni vijijini kwenu mkasaidie wazee wenu
Wengi, karibu wote ninaowajua.wangapi wapo full time kazini?usa Location ni neighborhood
pana chezeya wewe mutoto ya geneva King'asti fanya kucome pande hiiMimi mtoto wa fisadi huniwezi.my husband is white rich American sina stress Za kutafuta .sijui haya bill ya umeme inalipwaje .my job is makeup shopping and have fun and play with my 3 children .
King'astiiiiiiiiiiiiiiiiiii ehhhhh njoo huku bana!Nyumba USA Za mikopo.mtu unachukua mkopo wa nyumba laki 4 tuseme haya down 5000 haya by the time loan hii ukimaliza ni unamiaka 70 na interest maintenance taxes nyumba hiyo utajukuta umeilipia for almost one million .sasa hapo kwa nini usijenge tu bongo kupoteza muda pesa an stress ambazo mtakufa na heart attach