Usiombe uumwe USA


tatizo wanadhani Obama alivyokuwa presidaaa basi wakenya wote mambo byeeee Merekani! Fundisho kwa wenzie huko kwaoooo!
 
Pia kunyimwa viza inawezekana ni sababu ya kuwaponda walio usa.sidhani kama passport ni ishu.
Umenichekesha kweli, hivi bado US Embassy inatosa sana waomba Viza kama zamani? nadhani watakuwa na kauruma kidogo sasa hivi.
 
Kwakweli sjui kama kuna anaefahamu atatujuza hali ikoje kwa sasa.
Ila narudia leo hii usa wakisema sasa tanzania kuingia huku ni anytime huitaji viza utabaki mdomo wazi,mana watakaosalia ni wasioweza kujilipia nauli.pamoja na kuwaita walio huko wabeba maboksi na matusi mengine,yote maisha,wakiwa kule wanatafuta riziki yao(tena kihalali) kama ambavyo wangekuwa hapa.hiyo ni life ya kila mwanadamu awe tajiri au maskini(kujituma) anachotafuta ni hela.ingekuwa labda ukiishi bongo hufi,au ukitajirika hufi, ningewasema.


Bado najiuliza kwa hiyo ukiwa bongo au kenya ndo uombe kuumwa?ila cna jibu.

Umenichekesha kweli, hivi bado US Embassy inatosa sana waomba Viza kama zamani? nadhani watakuwa na kauruma kidogo sasa hivi.
 

ndugu ulaya matibabu bure , watoto bure meno bure sijui usa lakini ulaya ni FREE OF CHARGE
 
mrudi kwa kweli ...mnazi mmoja hospitali iko buree huku..
wewe kweli kiazi.....kudadadadeki....






tena wewe mjinga kweli kweli....acheni roho mbaya nyie watu.....unamwambia mwenzako aje kwenye huu moto sio?

wajawazito wakiwa wamelala wawili mpaka wa tatu katika Kitanda kimoja.

wajawazito wanalaliana..afu unamwambia aje tanzania...wewe mtu ulaaniwe....
Mzungu wa Nne'







 
hebu wakute barabarani huko ulayau USA or whatever hata kiswahiki hatasungumza nawe hawezi, im talking from experience.Been there donee that and it doesnt impress me much
 
ndugu ulaya matibabu bure , watoto bure meno bure sijui usa lakini ulaya ni FREE OF CHARGE


not trueat all you pay incurencesick or not you pay inceurence per month hivyo wakati ukiwa mgonjwa the incurence pays for you
 

wame-improve sana, kuna picha za hospitali nilizoziona....we acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…