Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu unakutwa na drama lote hilo.kuishi paycheck to paycheck no heri urudi bongo
Umenichekesha kweli, hivi bado US Embassy inatosa sana waomba Viza kama zamani? nadhani watakuwa na kauruma kidogo sasa hivi.Pia kunyimwa viza inawezekana ni sababu ya kuwaponda walio usa.sidhani kama passport ni ishu.
Umenichekesha kweli, hivi bado US Embassy inatosa sana waomba Viza kama zamani? nadhani watakuwa na kauruma kidogo sasa hivi.
Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu unakutwa na drama lote hilo.kuishi paycheck to paycheck no heri urudi bongo
Mkuu The Boss Hospitali ikishwa itwa mnazi mmoja basi hiyo itakuwa sio Hospitali itakuwa ni hospitali feki mkuu.mrudi kwa kweli ...mnazi mmoja hospitali iko buree huku..
Mkuu The Boss Hospitali ikishwa itwa Jina Mnazi Mmoja basi hiyo itakuwa sio Hospitali itakuwa ni Hospitali feki mkuu.mrudi kwa kweli ...mnazi mmoja hospitali iko buree huku..
wewe ponjoro unaanza mambo yako......Obamacare Romneycare
huku dawa zinatembezwa madumu kwa madumu zinatibu magonjwa 800 raha tupu
ndugu ulaya matibabu bure , watoto bure meno bure sijui usa lakini ulaya ni FREE OF CHARGE
Part time job Hakuna insurance.anakaa kwa kaka ake saa hizi