Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu unakutwa na drama lote hilo.kuishi paycheck to paycheck no heri urudi bongo
nDIO MAANA mAREKANI NI nCHI TAJIRI KUPITA ZOTE DUNIANI. nA sISI NI MASIKINI KUPITA NCHI ZOTE ZILIZOFUATA UKOMUNISTI. Kulipa nyumba na bili za simu, maji, umeme ni lazima kwa kila mpangaji. Tena hakuna excuse. Ila ukiwa na matatizo ya kuachishwa kazi na unakabiliwa na matatizo mengi kimaisha , kuna mahali kwingi sana sana kwenda kupata misaada. Hapa New York city,, kuna sehemu inaitwa workforce, hapo unapewa food stamp na kucollect unemployment wages kwa siku kadhaa. Hakuna shida kabisaa wala Njaa hapa marekani. labda huyo dada alikuwa kazini wiki moja tuu na hakumaliza three months probabation.
wewe usiombe kuishi marekani. Mwarabu wa saudi, Iraq, Bahrain, UAE na Libya, anafanya bahati nasibu ya Gree card masaa 24 ili aje aishi marekani ingawa nchi zao huzalisha pesa utafikiria wanatungua na makota mtini.
Hakuna mtu asiyependa kurudi tanzania. Ila upatikanaji wa kazi ni finyu na madawa ya kujitibu ni fake sana, je hili linavutia kweli kuja tanzania?huku kama umejikata, kutoa jino, operation ndogo, kukamuliwa jipu, kuna dawa za pain killer, ambazo unapewa kufuta maumivu. Utamu wa dawa hizo na raha yake, ni mara tano ya kulala na msichana. Je bongo dawa hizo zipo kweli ? na kama zipo si zitakuwa fake. mimi nemishi dar, sasa nataka nikirudi, nikaishi Sumbawanga au katavi, je ni raisi kupata kazi huko au ndo nilazimike kuja ishi dar tena?