Usiombe yakukute yaliyonikuta

Usiombe yakukute yaliyonikuta

Hahaha ila nyie wadudu mnamatatizo sana.. sasa we Demiss ulikuwa unaenda kwann?! Kwasababu ya pesa zake au?! Mtu humpendi but pesa zake unachukua na papuchi unampa..! Kesho ukipata playboy unarudi hapa kulalamika..! Duuuh kazi kweli kweli..
 
Mama mkwe na wewe yameshawahi kukuta?

Sitasahau nilienda kupima vipimo vya magonjwa yetu nikasema nikikutwa salama naahidi kuanzia sasa ntakua kasisi, paroko, muinjilist, shemasi, fwaza, muasham, kadinali na nikakamia hatua inayofuata ni kuanza mafunzo ya upapa.

Baada ya majibu, hata sikukumbuka jina la mchungaji wangu..hahahaaaa
Hahahaha hahahaha hahahahahhahaha hahaha hahahaha hahahaha
Nimecheka vicheko kama vyote yaani.
 
Nilikuwa mpaka nilewe pombee jaman likinipapasa nasikia hasira kwahiyo anajua nikienda kwake pombe za kutosha bila hivyoo khaaa hata aninyonye chini siloii maana silipendi
Hahahahaha sasa si ungeliacha mom. Au ndiyo lina mapesa.
Kama rafiki yangu alikuwa na mbebezi msenegal duuh sura kama lami.
 
ujinga ni mzigo mzito sana na bahati mbaya hata anayeubeba hua hajui kua kaubeba
 
Hahaha ila nyie wadudu mnamatatizo sana.. sasa we Demiss ulikuwa unaenda kwann?! Kwasababu ya pesa zake au?! Mtu humpendi but pesa zake unachukua na papuchi unampa..! Kesho ukipata playboy unarudi hapa kulalamika..! Duuuh kazi kweli kweli..
Pesaa sabuni ya rohooo
 
Mama mkwe na wewe yameshawahi kukuta?

Sitasahau nilienda kupima vipimo vya magonjwa yetu nikasema nikikutwa salama naahidi kuanzia sasa ntakua kasisi, paroko, muinjilist, shemasi, fwaza, muasham, kadinali na nikakamia hatua inayofuata ni kuanza mafunzo ya upapa.

Baada ya majibu, hata sikukumbuka jina la mchungaji wangu..hahahaaaa
Ahahahahaha huwa ni hivyo sijui kwanini
 
Ukiona inachelewa jaribu kusex mara nyingi
 
Wewe mm nilikaa siku 36 bila kuona weee niliumwa alafu kucheki ni li mwanaume lina sura mbaya silipendagi nikajua leo sasa naolewa na hili likaka linavyonipenda likisikia nimedaka alafu ya kwake litafurahi sana mawazo tumbo jotoo nikapoa kama sina akili nzurii wee nikaishia na pozii sasa kila nikienda chooni najichungulia hamna kitu weee raha nikakosa mawazo si mawazoo usingizi hamna nawazaa hiyo siku nikasema naenda kufanya utra sound naambiwa hamna kitu sijaamini weee ile narudi home mkojo umenibana yale maji unakunywa ili ufanyiwe ultra sound maraaa paaap nakutana na Period niliruka ruka na kupiga kelele mpaka jirani yangu akaniuliza umeshindwa TATU MZUKA
Kumbe pamoja na misura yetu mibaya huwa mnatuachia kavukavu bila kutumia silaha za maangamizi
 
Back
Top Bottom