Usiombe yakukute yaliyonikuta

Usiombe yakukute yaliyonikuta

Yule jamaa. Ana sura ya kila mtu. Bora akaombe kule


Na za kwetu wanaume anazo? Ila kama mtu haupo kwenye magroup au hana namba yako anaipata vipi picha yako?

Leo acha tujumuike na wewe kusherehekea ushindi wa kukoswakoswa na umama mtarajiwa.

Watu wanafikiri haupendi mtoto, la hasha. Ni jambo la muda na kuwa tayari.
 
Kilichonifurahisha hapa ,ulikuwa na boyfriend 1 na sio wengi.Hali kama hii ikimkuta mtu anakuwa anawaza ni yupi atakuwa baba kama nina mimba?

Hongera sana mkuu kwa kuwa na one love affair not many love affairs.
 
Back
Top Bottom