Kwanza pole saana kwa yaliyokusibu.Shehe pilau hailiwi usiku pilau yaliwa mchana !
Pili umeuliza kuhusu kundoa alama ya mabaka ya majeraha usoni/mwilini.Tumia kupaka asali sehemu iliyoathitika au nenda pharmacy yoyote kubwa kaulize dawa ya kutoa alama za majeraha utapata.
Mwisho nimalizie tu kuwapa story ya kuwa siku moja kiasi cha saa kumi usiku niliamua kuacha gari mitaa ya sinza kwa kuwa haikuwa na mafuta ya kutosha baada ya kuipaki gari nikasogea barabarani maeneo ya sinza uzuri uwanja wa TO darajani nikisubiri bodaboda ikaja ya kwanza ikapita ikaja ya pili ikasimama kidogo kwa mbele kama unaelekea sinza kijiweni nikaenda nikamwambia nataka kwenda Mwenge kwa kuwa nilitaka nikapande daladala za kwenda Bunju.Jamaa akanipakia lakini akanambia ye meneja wa baa mojawapo karibu ya mlimani city anaelekea kazini na amenichukua kwa sababu amenihurumia ningeweza kudhurika akaniusia kuwa nisijaribu tena kufanya hivo siku ingine yaani kusimamisha bodaboda usiku njiani kwa sababu wengi wao ni vibaka na majambazi naweza kujikuta napata madhara makubwa akanishauri niwe nasogea mpaka sehemu amabapo kuna staendi ya bodaboda wakiwa wengi! Basi alinipeleka hadi Mwenge pale Shall/PUMA ambapo pale unapata magari ya Tegeta /Bunju masaa 24 na watu muda wote wa usiku wapo wa kutosha na ni salama.
Hivo nami nawausia usipande bodaboda za kusimamisha niani usiku nenda hadi katika kituo ambacho utakuta zipo nyingi unachagua mojawapo kwani katika kituo si rahisi kukuta vibaka au majambazi wa dizaini.
Pili umeuliza kuhusu kundoa alama ya mabaka ya majeraha usoni/mwilini.Tumia kupaka asali sehemu iliyoathitika au nenda pharmacy yoyote kubwa kaulize dawa ya kutoa alama za majeraha utapata.
Mwisho nimalizie tu kuwapa story ya kuwa siku moja kiasi cha saa kumi usiku niliamua kuacha gari mitaa ya sinza kwa kuwa haikuwa na mafuta ya kutosha baada ya kuipaki gari nikasogea barabarani maeneo ya sinza uzuri uwanja wa TO darajani nikisubiri bodaboda ikaja ya kwanza ikapita ikaja ya pili ikasimama kidogo kwa mbele kama unaelekea sinza kijiweni nikaenda nikamwambia nataka kwenda Mwenge kwa kuwa nilitaka nikapande daladala za kwenda Bunju.Jamaa akanipakia lakini akanambia ye meneja wa baa mojawapo karibu ya mlimani city anaelekea kazini na amenichukua kwa sababu amenihurumia ningeweza kudhurika akaniusia kuwa nisijaribu tena kufanya hivo siku ingine yaani kusimamisha bodaboda usiku njiani kwa sababu wengi wao ni vibaka na majambazi naweza kujikuta napata madhara makubwa akanishauri niwe nasogea mpaka sehemu amabapo kuna staendi ya bodaboda wakiwa wengi! Basi alinipeleka hadi Mwenge pale Shall/PUMA ambapo pale unapata magari ya Tegeta /Bunju masaa 24 na watu muda wote wa usiku wapo wa kutosha na ni salama.
Hivo nami nawausia usipande bodaboda za kusimamisha niani usiku nenda hadi katika kituo ambacho utakuta zipo nyingi unachagua mojawapo kwani katika kituo si rahisi kukuta vibaka au majambazi wa dizaini.