Usipande boda usiemjua usiku mwezenu yamenikuta

Kwanza pole saana kwa yaliyokusibu.Shehe pilau hailiwi usiku pilau yaliwa mchana !
Pili umeuliza kuhusu kundoa alama ya mabaka ya majeraha usoni/mwilini.Tumia kupaka asali sehemu iliyoathitika au nenda pharmacy yoyote kubwa kaulize dawa ya kutoa alama za majeraha utapata.
Mwisho nimalizie tu kuwapa story ya kuwa siku moja kiasi cha saa kumi usiku niliamua kuacha gari mitaa ya sinza kwa kuwa haikuwa na mafuta ya kutosha baada ya kuipaki gari nikasogea barabarani maeneo ya sinza uzuri uwanja wa TO darajani nikisubiri bodaboda ikaja ya kwanza ikapita ikaja ya pili ikasimama kidogo kwa mbele kama unaelekea sinza kijiweni nikaenda nikamwambia nataka kwenda Mwenge kwa kuwa nilitaka nikapande daladala za kwenda Bunju.Jamaa akanipakia lakini akanambia ye meneja wa baa mojawapo karibu ya mlimani city anaelekea kazini na amenichukua kwa sababu amenihurumia ningeweza kudhurika akaniusia kuwa nisijaribu tena kufanya hivo siku ingine yaani kusimamisha bodaboda usiku njiani kwa sababu wengi wao ni vibaka na majambazi naweza kujikuta napata madhara makubwa akanishauri niwe nasogea mpaka sehemu amabapo kuna staendi ya bodaboda wakiwa wengi! Basi alinipeleka hadi Mwenge pale Shall/PUMA ambapo pale unapata magari ya Tegeta /Bunju masaa 24 na watu muda wote wa usiku wapo wa kutosha na ni salama.
Hivo nami nawausia usipande bodaboda za kusimamisha niani usiku nenda hadi katika kituo ambacho utakuta zipo nyingi unachagua mojawapo kwani katika kituo si rahisi kukuta vibaka au majambazi wa dizaini.
 
Hilo ndo la kumshkuru Mungu maana nilikuja kupata story the same date vibaka walimchoma kisu Cha tumbo mwanachuo chuo Fulani huku huku hakuomba hata maji,
Ni Mungu tu
Mtaa gani huo? Kwanini unaficha ficha mtaa wenye WAHALIFU? Bila shaka mlidhurumiana na VIBAKA wenzio wakakukata hayo mapanga
 
...Pole Sana, Mkuu [emoji120]
 
Panga la uso na hospitalini hujaenda?
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Ok, time Will tell bossπŸ₯΄
Yaani hii dar na viunga vyake nikabwe πŸ˜„
linapokuja suala la kujilinda,kutembea kuishi kimachale basi hapa ndipo penyewe

Ova
 
Yaani hii dar na viunga vyake nikabwe πŸ˜„
linapokuja suala la kujilinda,kutembea kuishi kimachale basi hapa ndipo penyewe

Ova
🀣🀣 Hongera bhana,sema nini ...huwa yatokea tu popote
 
🀣🀣 Hongera bhana,sema nini ...huwa yatokea tu popote
Kuna sehemu bado watu wanaishi kizamani sana usela wa kizamani
Wakikuona foreigner lzm wakukabe...unajiuliza watu hawabadiliki

Ova
 
Reactions: M45
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…