Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Pole sana kijana,acha kujitutumia kulikonuwezo wako , tutashindwa kukusaidia shauri zako., bado una safar ndefu sana kuyafikia mafanikio. Na huna ujanja huo unaojifanya unao kama hata kigari tu unatembelea screpa kama hizi 👇👇👇
View attachment 3114269
Maana kujuana sana ndo kuharibiana CV. So usijue sana kama huna hata plan B.
 
Maana kujuana sana ndo kuharibiana CV. So usijue sana kama huna hata plan B.
Ndio hivyo mdogo angu.
Usi brag kupita uwezo, unajifanya kuweza kutoa pesa kwa watu kumbe hata kusamehe watoto wazuri madeninhuwezi mpaka wakupe utelezi na bado unataka wakupe bure, wenye unafuu wa maisha hatuko hivi kijana wangu. 👇👇👇
Screenshot_20241003_172244_Samsung Internet.jpg
 
Harusi yangu nifungie bomani, nirudi nyumbani kwa dala dala, leo uniambie nikuchangie? Na wewe kafungie bomani ili kuepuka gharama,. Mtaniuliza maswali ya imani, hiyo piga chini, shikilia imani yako ya jadi.
 
Ndio hivyo mdogo angu.
Usi brag kupita uwezo, unajifanya kuweza kutoa pesa kwa watu kumbe hata kusamehe watoto wazuri madeninhuwezi mpaka wakupe utelezi na bado unataka wakupe bure, wenye unafuu wa maisha hatuko hivi kijana wangu. 👇👇👇
View attachment 3114296
😂😂😂no free lunch in Africa.
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.
Teh teh 😃 😃 mwisho wa mwaka huu utakoma..
 
Hivi hii michango huwa ni DENI?
Maana naona huwa mnalalamika huku mnatoa tu
Swali chonganishi:
Hivi likitokea la kutokea ukahitaji 2m kwa ajili ya hospitali kuna mtu atawachangia?
Na je hata ukienda kwenye hayo ma group matano utapata hata Alf tatu?
 
Hivi hii michango huwa ni DENI?
Maana naona huwa mnalalamika huku mnatoa tu
Swali chonganishi:
Hivi likitokea la kutokea ukahitaji 2m kwa ajili ya hospitali kuna mtu atawachangia?
Na je hata ukienda kwenye hayo ma group matano utapata hata Alf tatu?
Ukweli mchungu ni kwamba "ni ngumu kupata hata 10k"
 
Ukweli mchungu ni kwamba "ni ngumu kupata hata 10k"
Ona sasa
Sasa wanawahangaikia nini hao wenye nia ya kuoa na hela hawana?
Ndoa zangu 2 sijachangiwa hata senti na kila kitu nilifanya mwenyewe kwa sababu nilianza kujipanga zamani
Siwezi kuomba mchango au kuzungusha bakuli ni aibu
 
Ona sasa
Sasa wanawahangaikia nini hao wenye nia ya kuoa na hela hawana?
Ndoa zangu 2 sijachangiwa hata senti na kila kitu nilifanya mwenyewe kwa sababu nilianza kujipanga zamani
Siwezi kuomba mchango au kuzungusha bakuli ni aibu
Hii issue ni nzito sio rahs kama unavyoizungumzia, inavunja urafiki, undugu na mahusiano pia.
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.
Ushageuzwa source of income na wajanja. Hujui harusi now days ni source of income?
 
Back
Top Bottom