Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Mnamchangia mtu akale mbususu.
Unatoa 50 000,unapewa vipilau vimepwayapwaya na kibawa na tubia tuwili baasi.
Hapo,safari za kanisani ukumbini li program lireefu.
Then mnapigiwa wimbo wa aurlus mabele mnaagwa.
Mbaya zaidi mwaka tu wanakuja kuomba ushauri.
Pumbavu sifanyi ujinga huo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ inaumiza sana. Yaani mtu anaomba mchango kwa nguvuu tena bila aibu duh
 
Kupanga ni kuchagua. Kama unataka kuwa na uhuru, jitahidi uweze kujitawala kwanza. Uwe na uwezo wa kumwambia mtu hili naweza na hili siwezi bila kuvunja mahusiano mliyonayo.
Wakikualika kikao cha kwanza wakati wa kupledge usitokee. Usipokula chakula Chao unakuwa na uhuru wa kuchangia chochote kuliko kuhudhuria na kugonga mwaliko wao.
 
Haya ni matokeo ya sherehe kufanywa biashara, MC alipwe, Ukumbi, Caterer, videographer, mziki, sijui nini nini..

Kuna tatizo gani kwa sherehe za nyumbani? Wanafamilia, nani atashindwa kulisha familia yake?

On the other hand kiuchumi, tumieni pesa ili izunguke ๐Ÿ˜œ
 
Tuko Tanzania mkuu... Haya maneno ni makali mno... Tutauwawa
Hakuna mtu wa kukuua hata kidogo. Mbona kuna watu hawaendi Bar na hawauawi? Na njia nyingine ya kukwepa ujinga kama huu ni kutojiunga na makundi ya whatsup kiholela. Chungu sana sijui kundi la ''mlisoma pamoja'' na the likes.. Kuna kipindi nilijaribu kujiunga makundi matatu tu, wiki moja nikajiondoa. Msg zinaingia kila sekunde na vitu watu wanavyo-share ni vya kijinga jinga tu.
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka​

Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.
Mkuu weka setting ambayo hairuhusu mtu kukuunga kwenye group mpaka akutumie notification uaccept ndo ujiunge.
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.
pole sana, nenda settings za whatsapp zuia kuungwa magrup bila ridhaa yako!!hakika shughuli ni nyingi ila jikune unapofikia.
 
Uzuri n kwamba yanabaki kuwa maamuzi yako
Tatizo kuna mtu usimpochangia inakuwa ni nongwa jumla. Unakuta wewe wala ukuchangisha harusi yako. Yaani hilo wanaliingiza hata kwenye masuala mengine kama ya msiba na ugonjwa,wanakukomoa kama hukuchangia harusi uchwara zao.
 
Hakika! Ufahari wa ajabu ajabu na sifa za siku moja zinatugharimu
Haya ni matokeo ya sherehe kufanywa biashara, MC alipwe, Ukumbi, Caterer, videographer, mziki, sijui nini nini..

Kuna tatizo gani kwa sherehe za nyumbani? Wanafamilia, nani atashindwa kulisha familia yake?

On the other hand kiuchumi, tumieni pesa ili izunguke ๐Ÿ˜œ
 
Familia / kamati yako ilichangisha? Kama ndio wanaoku add kwenye hayo magroup maana yake walichangisha.
Si kweli hata kidogo, kuna watu wala huna ukaribu nao hata kidogo, wengine mnafahamiana kawaida tu na hujawahi kuwachangisha. Yaani limekuwa ni janga kubwa sana sasa hivi, tena wengine ni wasomi na wana vipato vyao, wanashindwa kuplan sherehe ndogo wanayoimudu, inabaki kuwa kero kubwa.
 
Inaangalia na WA kuchangia.siyo unaungwa tu na mtu ambaye hamfahamiani hata kidogo unamchangia.hiyo itakuwa ni ujuha kabisa.Na ukiendekeza sana michango utanikuta nyumabi Kila siku utakula maharage.
 
Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
Ndo shida ya watu hiyo, kipindi mtu akiwa ana jambo lake anakuhamasisha sana. Ukimchangia akimaliza shughuli yake ndo hao wa kwanza kulaumu kuhusu michango ya harusi wanajifanya sasa wanajari misiba wakati hata hiyo misiba yenyewe hawachangii.

Hili suala ni simple kabisa, usikusanye michango kwa watu kama wewe hutaki kuchangia. Mtu akikufuata mchane wazi huwa sichangii na wewe ukiwa na shughuli pambana mwenyewe tu, ikibidi usiaalike hata watu maliza peke yako.
 
Mwanaume unakosaje msimamo? Unashindwa kusema direct tu kuwa sina hela full stop.

Unamuogopa nani sasa?

Binafsi sijawahi changia harusi wala kushiriki harusi yoyote ile hata ya ndugu zangu sipendi sherehe sherehe kabisa huwa sipendi mirundikano ya watu.

Uzuri ni kwamba sina wazo la kuoa maishani mwangu.
Wewe ni mpumbavu.
 
Kadi za michango ya harusi ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!



Cc Smart911
 
Ndo shida ya watu hiyo, kipindi mtu akiwa ana jambo lake anakuhamasisha sana. Ukimchangia akimaliza shughuli yake ndo hao wa kwanza kulaumu kuhusu michango ya harusi wanajifanya sasa wanajari misiba wakati hata hiyo misiba yenyewe hawachangii.

Hili suala ni simple kabisa, usikusanye michango kwa watu kama wewe hutaki kuchangia. Mtu akikufuata mchane wazi huwa sichangii na wewe ukiwa na shughuli pambana mwenyewe tu, ikibidi usiaalike hata watu maliza peke yako.
Dah
 
Back
Top Bottom