Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Daaah! Huu ndiyo mchango wako kwenye thread hiii!!?
Huwa nawajibu ninavyotaka kama wanataka michango ya harusi sina labda michango ya minyoo,maana nachoka na simu,huku wanataka uwe mjumbe wa kamati,wengine michango tena asubuhi tu simu hizi.Nilishawaambia huwa sichangii michango ya harusi,nitachangia elimu na afya
 
Hii kero ilisababisha nikalimit wasap yangu kuungwa magroup bila ridhaa yangu ..haiwezekani mtu akurupuke tu mara kakuadd group la harusi watu wanaplij mule malaki huko badala yake unabaki kushangaa ukiulizwa unatoa sh ngapi.

Kiustaarbu nipe taarifa nijipange nione naweza support kiasi gan na aio niungwe kwa group la michango.
Kero nyingine mtu kukupigia siku akiwa anahitaji pesa yako kufanikisha jambo lake tena wasivyo na haya si ajabu hata katika harusi yako hakuchanga japo alijua kabisa.
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.

KAMA MARAFIKI ZAKO ULIWAOMBA MICHANGO WAKUCHANGIE KATIKA HARUSI YAKO WAKAKUCHANGIA IMEFIKA ZAMU YAO HUTAKI KUWACHANGIA ..........UKISIKIA UCHAWI BASI HUU NDO UCHAWI
 
Weka settings ambayo hairuhusu kuungwa kwenye group bila ruhusa yako.. hiyo imenisaidia sana .. kwani hapo mwanzo nilikuwa najikuta tu tayari ndani ya group sasa hivi inakuja link ni accept au la
 
Na kuna watu wanadai kama Deni, sms mfululu mpaka unajisemea huyu mtu mzima kweli! Mbaya zaidi mtu anakuchangisha mchango wa harusi ya mtu hata usiyemjua!
 
Tatizo ni pale unachangishwa hadi michango ya harusi ya Mjomba wake na rafiki yako duh!
KAMA MARAFIKI ZAKO ULIWAOMBA MICHANGO WAKUCHANGIE KATIKA HARUSI YAKO WAKAKUCHANGIA IMEFIKA ZAMU YAO HUTAKI KUWACHANGIA ..........UKISIKIA UCHAWI BASI HUU NDO UCHAWI
 
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.

Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.

Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!

HAPANA.
Mimi mpaka muda huu yapo ma group ma 3 😊😊 mzee nakumbuka KAULI za wahenga """"KUTOA NI MOYO"" SI UTAJIRI..
 
Back
Top Bottom