Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #41
Kipato chenyewe cha kuungaunga... Dah!Mimi mpaka muda huu yapo ma group ma 3 😊😊 mzee nakumbuka KAULI za wahenga """"KUTOA NI MOYO"" SI UTAJIRI..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipato chenyewe cha kuungaunga... Dah!Mimi mpaka muda huu yapo ma group ma 3 😊😊 mzee nakumbuka KAULI za wahenga """"KUTOA NI MOYO"" SI UTAJIRI..
Maamuzi yako wako wanasumbua kama wanakudai.Uzuri n kwamba yanabaki kuwa maamuzi yako
SMS kila dakika duh! Ujibu usijibu wao wanatuma tuMaamuzi yako wako wanasumbua kama wanakudai.
Familia / kamati yako ilichangisha? Kama ndio wanaoku add kwenye hayo magroup maana yake walichangisha.Sikuchangisha kwenye harusi yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hua sihangaiki.
Nkikuta wameniweka, naleft chap chap alaf namtumia text mlengwa kua hali yangu mbaya ntamtumia chochote kitu ndani ya wiki 2 au mwezi depending na deadline yao.
Baas hakuna mapresha tena. Namuwekea li thate kama ni ule usela wa kuunga na jojo, kama ni close ones anakula li fifte.
Nliwahi kuungwa li grupu lina ma injinia na madokta wa kutosha, aisee jamaa wa chini kabisa nkaona ana pledge laki mbili.
Nkapiga hesabu hapa watakuja kuniacha uchi sokoni, chqp chede nkasepa na mia, myakimyaki nkadere mwanangu nkampa li fifte nkamwambie kateseke kivyako
Mm kuna mmoja akanipetea kadi ety rafiki yake ambaye ht simjui, simple nikamwambia Siwez kumchangia mtu nisiyemjuaMaamuzi yako wako wanasumbua kama wanakudai.
Wanakeraaa sana!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna watu wanadai kama Deni, sms mfululu mpaka unajisemea huyu mtu mzima kweli! Mbaya zaidi mtu anakuchangisha mchango wa harusi ya mtu hata usiyemjua!
Jamani Pesa yote nilitoboka peke Angu, bajeti nilipanga Mimi maana nilikuwa kwenye kamati, in short nilichukua ka mkopoFamilia / kamati yako ilichangisha? Kama ndio wanaoku add kwenye hayo magroup maana yake walichangisha.
Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikaushaShida tuna ubinafsi sana, mtu akiwa sherehe au harusi yake anafurahia kupokea michango kutoka kwa wengine. Ila wengine wakiomba achangie harusi ndo habari kama hizi zinaibuka.
Kama hutaki kuchangia na wewe usiombe michango kwa watu na usikubali wengine wakuchangie . Hakuna cha bure ukila na ukubali kuliwa.
Ulishawahi kuomba michango kwenye harusi za watu ukiwa kama mwanakamati?Jamani Pesa yote nilitoboka peke Angu, bajeti nilipanga Mimi maana nilikuwa kwenye kamati, in short nilichukua ka mkopo
Huwa nawekwa kwenye hizo kamati ila huwa sihudhurii wala kushiriki chochote nshakataa lakini wapiiiUlishawahi kuomba michango kwenye harusi za watu ukiwa kama mwanakamati?
Sasa kwanini unatoa hela yako? Kuna kitu hakiko sawa. Ninavyoona huna msimamo thabitiHuwa nawekwa kwenye hizo kamati ila huwa sihudhurii wala kushiriki chochote nshakataa lakini wapiii
Tatizo unaweza kuta uchumi mmbaya na anatakiwa kuchanga kama harusi 7 hivi, so hamna namna zaidi ya kuwapa ma 10Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
Watz ni wa hivyo sana....Sasa kwanini unatoa hela yako? Kuna kitu hakiko sawa. Ninavyoona huna msimamo thabiti
Mtu amekupa taarifa 5 months b4 kwel ndo umpe ten?bad enough alikuwa hadi mwenyekit wa kamat ya ndoa yakoTatizo unaweza kuta uchumi mmbaya na anatakiwa kuchanga kama harusi 7 hivi, so hamna namna zaidi ya kuwapa ma 10
Michango ni njia rahisi ya kutafuta lawama.Mtu amekupa taarifa 5 months b4 kwel ndo umpe ten?bad enough alikuwa hadi mwenyekit wa kamat ya ndoa yako
Kama hutaki lawama usichangishe watu sasa cz Hela anayokuchangia si kwamba amekosa pa kuipelekaMichango ni njia rahisi ya kutafuta lawama.
Ni rahisi sana. Iko hivi, kama hujawahi kuomba mtu mchango, hakuna mtu anayestahili mchango wako. Hauna deni.Watz ni wa hivyo sana....
Sichangishagi wala sijawahi harusi yangu nilisimama Mimi kama mimiKama hutaki lawama usichangishe watu sasa cz Hela anayokuchangia si kwamba amekosa pa kuipeleka