Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Usipokuwa makini utajikuta unachangia harusi 5 hadi 6 kwa mwezi

Mimi hua sihangaiki.

Nkikuta wameniweka, naleft chap chap alaf namtumia text mlengwa kua hali yangu mbaya ntamtumia chochote kitu ndani ya wiki 2 au mwezi depending na deadline yao.

Baas hakuna mapresha tena. Namuwekea li thate kama ni ule usela wa kuunga na jojo, kama ni close ones anakula li fifte.

Nliwahi kuungwa li grupu lina ma injinia na madokta wa kutosha, aisee jamaa wa chini kabisa nkaona ana pledge laki mbili.

Nkapiga hesabu hapa watakuja kuniacha uchi sokoni, chqp chede nkasepa na mia, myakimyaki nkadere mwanangu nkampa li fifte nkamwambie kateseke kivyako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Familia / kamati yako ilichangisha? Kama ndio wanaoku add kwenye hayo magroup maana yake walichangisha.
Jamani Pesa yote nilitoboka peke Angu, bajeti nilipanga Mimi maana nilikuwa kwenye kamati, in short nilichukua ka mkopo
 
Shida tuna ubinafsi sana, mtu akiwa sherehe au harusi yake anafurahia kupokea michango kutoka kwa wengine. Ila wengine wakiomba achangie harusi ndo habari kama hizi zinaibuka.

Kama hutaki kuchangia na wewe usiombe michango kwa watu na usikubali wengine wakuchangie . Hakuna cha bure ukila na ukubali kuliwa.
Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
 
Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
Tatizo unaweza kuta uchumi mmbaya na anatakiwa kuchanga kama harusi 7 hivi, so hamna namna zaidi ya kuwapa ma 10
 
Watz ni wa hivyo sana....
Ni rahisi sana. Iko hivi, kama hujawahi kuomba mtu mchango, hakuna mtu anayestahili mchango wako. Hauna deni.

Maana yake mtu anapokuomba mchango, unaweza kumjibu direct kwamba 'samahani sitaweza' na yeye hawezi kuku press kwasababu hakudai - hujawahi kumchangisha.

Ukiwa na msimamo thabiti watu wataliona hili na wataacha kukusumbua. Binafsi kwa mwaka nachangia harusi za mtu mmoja au wawili - ambao ni ndugu nimekuwa nao na tumeshibana.

Sichangii sherehe ya ndugu wa ndugu, rafiki wa ndugu, ndugu wa rafiki na third parties nyingine kama hizi. Hata ndugu ambaye simfahamu (ndugu wa kuambiwa tu - sijawahi kuonana naye) sichangii.

Nimekuwa na msimamo katika hili kiasi cha kwamba siombwi michango wala siaddiwi kwenye magroup.

Ukisema 'hapana' za kutosha, watu wataacha kuomba
 
Back
Top Bottom