Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Kawaida sana sweetheart...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sana sweetheart...
Ni nyingi sana love watu wanawowana sio kidogooooo!!Kawaida sana sweetheart...
Kutoa ni moyo. Toa unapoweza au unapokuwa na nafasi . Una uhakika hata watoto wako wakioa au kuolewa utajimudu? Yani sisi utatuarika kuja kula tu ?Mimi nilikataa KUTOA Michango ya harusi ,
Natoa michango ya misiba au ugonjwa
Nauhakika ndoa nyingi hizo ni za KIKRISTO na mazishi yao ndio wamefanya anasaHii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!
HAPANA.
Huu mwandiko utakuwa wa ArushaMimi hua sihangaiki.
Nkikuta wameniweka, naleft chap chap alaf namtumia text mlengwa kua hali yangu mbaya ntamtumia chochote kitu ndani ya wiki 2 au mwezi depending na deadline yao.
Baas hakuna mapresha tena. Namuwekea li thate kama ni ule usela wa kuunga na jojo, kama ni close ones anakula li fifte.
Nliwahi kuungwa li grupu lina ma injinia na madokta wa kutosha, aisee jamaa wa chini kabisa nkaona ana pledge laki mbili.
Nkapiga hesabu hapa watakuja kuniacha uchi sokoni, chqp chede nkasepa na mia, myakimyaki nkadere mwanangu nkampa li fifte nkamwambie kateseke kivyako
Ukipewa usisahau, ukitoa toa bila kukumbuka.Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
Dadeki hadi Euro. Hii ndio High Pressing sasa, wanakabia juu.Ni kutoa tuuView attachment 3114191
Mkuu ukiishi na mentality hii itakutesa, utakuwa mfungwa wa maisha yako mwenyewe.Kama walikuchangia kipindi cha harusi yako na wewe wachangie kipindi cha harusi zao .
Kama hawakukuchangia katika harusi yako na wewe usichange harusi zao...........
Mwisho kabisa katika maisha jifunze kuwa na msimamo sio leo hii unawakataa watu wa karibu alafu kesho kutwa unawahitaji kipindi una jambo lako
Cha ajabu unaweza ukawaambia ndugu zako mi nataka sherehe yangu iwe simpo tu lakini utapingwa na watashupali michango ichangishwe utafikiri wanaoa wao.Haya ni matokeo ya sherehe kufanywa biashara, MC alipwe, Ukumbi, Caterer, videographer, mziki, sijui nini nini..
Kuna tatizo gani kwa sherehe za nyumbani? Wanafamilia, nani atashindwa kulisha familia yake?
On the other hand kiuchumi, tumieni pesa ili izunguke π
Wanakuwa na hamu na sherehe. πCha ajabu unaweza ukawaambia ndugu zako mi nataka sherehe yangu iwe simpo tu lakini utapingwa na watashupali michango ichangishwe utafikiri wanaoa wao.
Nko vzr sanaHarusi yangu sikuchangiwa na umma kwenye familia tuna utaratibu wa kuchangiana, Hivyo hata niungwe kwenye hizo grou huwaga sichangii na mtu hawezi kunilaumu au kunishtumu
Kimsingi ni mzgo mzto sanaNauhakika ndoa nyingi hizo ni za KIKRISTO na mazishi yao ndio wamefanya anasa
Huwezi Kuta huu UPUMBAVU kwa watu waliostaarabika kama mabudha,wahindu na waislam
Ndio wewe uliyejifanya una jeuri ya kunipa mimi 200k kumbe kimshahara chako chenyewe hakikutoshi mpaka kuchangia mambo ya kijamii tu unalia lia namna hii!?Wacha kabisaaa... Mimi lipo moja mpaka sasa mwenye kiwango cha chini ni 250k yaani hadi jasho....
Nina fungu maalumu kwa ajili ya mayatima, wajane, maskini na wasiojiweza, hyo 200k inatoka katka fungu hilo maana hujiwezi.Ndio wewe uliyejifanya una jeuri ya kunipa mimi 200k kumbe kimshahara chako chenyewe hakikutoshi mpaka kuchangia mambo ya kijamii tu unalia lia namna hii!?
View attachment 3114253
Pole sana kijana,acha kujitutumia kulikonuwezo wako , tutashindwa kukusaidia shauri zako., bado una safar ndefu sana kuyafikia mafanikio. Na huna ujanja huo unaojifanya unao kama hata kigari tu unatembelea screpa kama hizi πππNina fungu maalumu kwa ajili ya mayatima, wajane, maskini na wasiojiweza, hyo 200k inatoka katka fungu hilo maana hujiwezi.