Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
-
- #121
Maana kujuana sana ndo kuharibiana CV. So usijue sana kama huna hata plan B.Pole sana kijana,acha kujitutumia kulikonuwezo wako , tutashindwa kukusaidia shauri zako., bado una safar ndefu sana kuyafikia mafanikio. Na huna ujanja huo unaojifanya unao kama hata kigari tu unatembelea screpa kama hizi πππ
View attachment 3114269
Ndio hivyo mdogo angu.Maana kujuana sana ndo kuharibiana CV. So usijue sana kama huna hata plan B.
πππno free lunch in Africa.Ndio hivyo mdogo angu.
Usi brag kupita uwezo, unajifanya kuweza kutoa pesa kwa watu kumbe hata kusamehe watoto wazuri madeninhuwezi mpaka wakupe utelezi na bado unataka wakupe bure, wenye unafuu wa maisha hatuko hivi kijana wangu. πππ
View attachment 3114296
Ikiwa hukuchangisha kwenye harusi yako basi tatizo ni wewe sio wao.Sikuchangisha kwenye harusi yangu.
Teh teh π π mwisho wa mwaka huu utakoma..Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!
HAPANA.
π―π―π―Ikiwa hukuchangisha kwenye harusi yako basi tatizo ni wewe sio wao.
Michango ya Arusi itakoma mara tu wachangaji wakigoma kutoa pesa.
ππna imagine huelewi na 50 yako inakuwajeWacha kabisaaa... Mimi lipo moja mpaka sasa mwenye kiwango cha chini ni 250k yaani hadi jasho....
Wacha kabisaaa....ππna imagine huelewi na 50 yako inakuwaje
Ukweli mchungu ni kwamba "ni ngumu kupata hata 10k"Hivi hii michango huwa ni DENI?
Maana naona huwa mnalalamika huku mnatoa tu
Swali chonganishi:
Hivi likitokea la kutokea ukahitaji 2m kwa ajili ya hospitali kuna mtu atawachangia?
Na je hata ukienda kwenye hayo ma group matano utapata hata Alf tatu?
Ona sasaUkweli mchungu ni kwamba "ni ngumu kupata hata 10k"
Hii issue ni nzito sio rahs kama unavyoizungumzia, inavunja urafiki, undugu na mahusiano pia.Ona sasa
Sasa wanawahangaikia nini hao wenye nia ya kuoa na hela hawana?
Ndoa zangu 2 sijachangiwa hata senti na kila kitu nilifanya mwenyewe kwa sababu nilianza kujipanga zamani
Siwezi kuomba mchango au kuzungusha bakuli ni aibu
Ushageuzwa source of income na wajanja. Hujui harusi now days ni source of income?Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!
HAPANA.
Duh! Ndo wakabie juu kias hchoUshageuzwa source of income na wajanja. Hujui harusi now days ni source of income?