Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Nasikia wameshaanza kumjengea msingi wa sanamu lake pale makao makuu ya nchiUjengewe sanamu haraka iwezekanavyo....
Umenena vyemaMpe pesa, mpe zawadi, mpe kila kitu akitoka hapo anaenda kuhonga mpuuzi mmoja anayemhemeaga mgongoni [emoji23]
Sema tu ukimjali itapunguza rate ya kusaidiwa
Ndugu habari, kutokana na kanuni na sheria mpya za ujengwaji wa sanamu duniani, mleta uzi amekosa vigezo vyote vya kujengewa sanamu.Ujengewe sanamu haraka iwezekanavyo....
Mafao yake vipiNikiwa kama mjumbe wa UWABATA (Umoja wa Wanaume Bahili Tz), Kuanzia sasa umefutwa uwanachama....
UWABATA hakuna mafao nduguMafao yake vipi
kagongwa Jackline Mengi in threesome na yule "baasha" kule Dubai pamoja na mipesa yote ile,Mwanaume usipompa mpenzi wako pesa