Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichokosa Melinda si pesa ni mapenzi labdaKama Bill Gate ndoa ilienda mrama money is not all that matters
Ajengewe na nani? Kadi ya uwanachama tushamnyang'anya sio mwana UWABATA tena.Ujengewe sanamu haraka iwezekanavyo....
Atajengewa na CHACHAWAPE (Chama cha wanawake wapenda pesa)Ajengewe na nani? Kadi ya uwanachama tushamnyang'anya sio mwana UWABATA tena.
Kuna mishe naiskilizia ikitiki tuu mbona utafurahi ,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nikiwa kama mjumbe wa UWABATA (Umoja wa Wanaume Bahili Tz), Kuanzia sasa umefutwa uwanachama....
Wala sio issue mwanamke kuliwa nje zinaoteseka n sehemu zake za Siri ....Na wanasaidiwa sana
Mkuu mwanamke hana formula ni kikubwa kuliko vyote Don't ever trust them ...Nakumbuka kuna siku nilienda ofisin kwa jamaa yangu nikamkuta kainamia meza, nilisubiri kama dakika mbili bila kumsemesha nikisuburi ainue kichwa nilivyoona hainuki nikamuita jina nikimgusa mgongon...
Kwanini ziteseke wakati kileleni anafikishwa mkuu?Wala sio issue mwanamke kuliwa nje zinaoteseka n sehemu zake za Siri ....
Ikawaje Baada ya HapoNakumbuka kuna siku nilienda ofisin kwa jamaa yangu nikamkuta kainamia meza, nilisubiri kama dakika mbili bila kumsemesha nikisuburi ainue kichwa nilivyoona hainuki nikamuita jina nikimgusa mgongoni, alivyoinuka akaniangalia nilishangaa kuona macho mekundu yamejaa machozi nikamuuliza nini shida akajibu kama ifuatavyo, "peril mdogo wangu.
Mwanamke hata umnunulie helkopta iwe inampeleka chooni kupigwa nje haiepukiki, siamini kwa jinsi ninavyomfanyia shemeji yako mama flani na haya ninayokutana nayo" jamaa akaangua kilio tena. Nilimuonea sana huruma ukizingatia ni wale binadamu wachache waliobaki wenye uaminifu wa asili.
Jamaa alimpa huyo mama hela akaanze maisha yake, yeye akabaki na mtoto. Mpaka leo hajaoa tena ila kuna demu alimzalisha mtoto mwingine sasa hivi analea watoto wake tu.Ikawaje Baada ya Hapo
Pale makumbusho ya taifaUjengewe sanamu haraka iwezekanavyo.
Kuna watu watajifanya hii comment haiwahusuTo
Toka nimlage mke wa mtu ambaye mmewake anamuachiaga mpaka kadi yake ya benki na alimuoa akiwa bikra nmeshajiandaaga kisaikolijiaa na hawa watu