Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Ni imani yangu sote tu wazima, nina kila sababu leo kuongea na vijana wenzangu.
Sote tunafahama hali ya maisha, vita ya kulipigania tumbo ni vita ngumu zaidi kuliko ile ya kusaka utajiri. Ni kama ile vita ya kupigania uhai, unapambana ii uendelee kuitwa kiumve hai.
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikiandika mada zenye mfululizo wa kufichua mazingira yenye bidhaa nafuu ili aliyekwama kuanza biashara kwa sabab hiyo aanze. Bado napata ukakasi yA kwamba bado tuna idadi kubwa ya vijana ambao hata kufikiria kufanya biashara hawajawahi pamoja na uhalisi uliopo.
Katika perspective hii, sababu za kushindwa walau kufikiria kwamba kuna siku wataanza biashara ni pamoja na kukosa mitaji, shinikizo la kuajiriwa kuwa na faida nyingi kuliko hasara nk. Biashara bado inalipa, pamoja na ugumu uliopo katika kulipambania tumbo na kujitegemea
Safari bado ni ngum, mwanzo unakatisha tamaa na mwisho unaoonekana wakati wa kuanza unaogofya sana. Never lose hope.
Sote tunafahama hali ya maisha, vita ya kulipigania tumbo ni vita ngumu zaidi kuliko ile ya kusaka utajiri. Ni kama ile vita ya kupigania uhai, unapambana ii uendelee kuitwa kiumve hai.
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikiandika mada zenye mfululizo wa kufichua mazingira yenye bidhaa nafuu ili aliyekwama kuanza biashara kwa sabab hiyo aanze. Bado napata ukakasi yA kwamba bado tuna idadi kubwa ya vijana ambao hata kufikiria kufanya biashara hawajawahi pamoja na uhalisi uliopo.
Katika perspective hii, sababu za kushindwa walau kufikiria kwamba kuna siku wataanza biashara ni pamoja na kukosa mitaji, shinikizo la kuajiriwa kuwa na faida nyingi kuliko hasara nk. Biashara bado inalipa, pamoja na ugumu uliopo katika kulipambania tumbo na kujitegemea
Safari bado ni ngum, mwanzo unakatisha tamaa na mwisho unaoonekana wakati wa kuanza unaogofya sana. Never lose hope.