Usipoteze tumaini, dunia ndivyo ilivyo

Usipoteze tumaini, dunia ndivyo ilivyo

Nipe definition yako
Take note, kwa dunia ya sasa umaskini unaangaliwa kwemye material world, yani kuna standard ya maisha ya kuishi mwanadam kutokana na mahitaji, sustainability na stability. Umaskini unatokea less than normal standard ambapo wanaotokea chiniya standard wanaishi misery life. Wanapitia ugum sana kupat basic needs, kufikia baadhi ya haki zao wenyewe na madhara mengine

So, umaskini kwa standard ya maisha na dunia iliyo-monetize kila kitu ni chini ya kipato (LIE), hapo patatokea vitu vingine kama ujinga, maradhi, uhaba na ukosefu.. kushindikana! Kukosekana etcetera. So maskini ukiangalia deep hata mikikati wezeshi hafikiki kirahis

Na umaskini upo na layers, kuna umaskini wa nchi, kinda, familia, kabila, mpaka umaskini wa mtu mmoja mmoja. Pia umaskini una levels yani kuna maskini ambaye hana kitu kabisa, kuna maskini ana chumba kimoja, kuna maskini ana nyumba ya vyumba vitatu. Na hawa wote kadri mmoja anavyotokea juu ndivyo anaona wa chni yake maskini
Screenshot_20241201_170305_Chrome.jpg
Screenshot_20241201_170248_Chrome.jpg
 
Pia hakuna maana halisi ya mtu kuwa tajiri
Umaskini unaendana na vulnerability, maskini sifa zao zinafanana tu, wengi utawakuta vijijin, urban slums na shanty town na sub urban. Wengi wanafanya kazi au shughuli zao sana katika informal sectors, wengine ni toilers katika viwanda na magodauni ya wahindi. Maskini wanakula kwa tabu sana, wanahangaika kupata hela za kula, hawaungani wala kusapotiana na rate ya imani ya uchawi miongoni mwao iko juu sana. Tajiri anatokea in vise versa..

Ukiona umeme umekatika na hauna suluhu mpaka tanesco waurudishe wewe ni maskini tu
 
Mtu maskini maana yake ni mtu ambaye hana Mali kabisa, yaani networth yake ni 0 TZS.

Sasa mtu Kama huyu yupo kweli ?
Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane

ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
 
Take note, kwa dunia ya sasa umaskini unaangaliwa kwemye material world, yani kuna standard ya maisha ya kuishi mwanadam kutokana na mahitaji, sustainability na stability. Umaskini unatokea less than normal standard ambapo wanaotokea chiniya standard wanaishi misery life. Wanapitia ugum sana kupat basic needs, kufikia baadhi ya haki zao wenyewe na madhara mengine

So, umaskini kwa standard ya maisha na dunia iliyo-monetize kila kitu ni chini ya kipato (LIE), hapo patatokea vitu vingine kama ujinga, maradhi, uhaba na ukosefu.. kushindikana! Kukosekana etcetera. So maskini ukiangalia deep hata mikikati wezeshi hafikiki kirahis

Na umaskini upo na layers, kuna umaskini wa nchi, kinda, familia, kabila, mpaka umaskini wa mtu mmoja mmoja. Pia umaskini una levels yani kuna maskini ambaye hana kitu kabisa, kuna maskini ana chumba kimoja, kuna maskini ana nyumba ya vyumba vitatu. Na hawa wote kadri mmoja anavyotokea juu ndivyo anaona wa chni yake maskiniView attachment 3166620View attachment 3166621
Mkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.

Wewe mwenyewe una yumba balaa mpaka unasema umaskini upo na layers.

Kitu kuwa na maana halisi maana yake unaweza ukamueleza mtu yeyote kwa mara moja na kukuelewa kwa urahisi.

Hayo mambo uliyo yaonyesha hapo nimeyasoma sana shuleni.

Hayo maelezo yako hata ukitumwa ukawafundishe wazee ambao hawajui kusoma na kuandika, hawawezi kuelewa hata ukiongea kwa kiswahili.
 
Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane

ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Hayo yalikuwa ni mawazo tu. Mimi sijawahi kusema humu JF kuwa Nina Mahela, labda Kama hukunielewa kwenye posts za mwanzoni.
 
Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane

ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Mimi sijaoa mkuu
 
Mkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.

Wewe mwenyewe una yumba balaa mpaka unasema umaskini upo na layers.

Kitu kuwa na maana halisi maana yake unaweza ukamueleza mtu yeyote kwa mara moja na kukuelewa kwa urahisi.

Hayo mambo uliyo yaonyesha hapo nimeyasoma sana shuleni.

Hayo maelezo yako hata ukitumwa ukawafundishe wazee ambao hawajui kusoma na kuandika, hawawezi kuelewa hata ukiongea kwa kiswahili.
Umasiki upo wazi unaoneka haujifichi, hata ukishindwa kuelezea
unaonekana wazi
 
Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane

ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Nilisema siteseki kwa sababu nina uwezo wa kujipatia basic needs of life, ila sina mahela.
 
Mkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.

Wewe mwenyewe una yumba balaa mpaka unasema umaskini upo na layers.

Kitu kuwa na maana halisi maana yake unaweza ukamueleza mtu yeyote kwa mara moja na kukuelewa kwa urahisi.

Hayo mambo uliyo yaonyesha hapo nimeyasoma sana shuleni.

Hayo maelezo yako hata ukitumwa ukawafundishe wazee ambao hawajui kusoma na kuandika, hawawezi kuelewa hata ukiongea kwa kiswahili.
Layers lazima ziwepo hata kwenye utajiri.. lazima ukubali layers kwamba kuzidiana lakini hauwezi kushindwa kuelewa nn kinaongelewa. Kama hutaki kuelewa hulazimishwi. Huwezi kusema mtu anaemiliki chumba kimoja na mlala nje wako sawa.. lakini hauna sababu za kuwatoa kwenye umaskini
 
Umasiki upo wazi unaoneka haujifichi, hata ukishindwa kuelezea
unaonekana wazi
Umaskini unaelezeka vizuri kabisa. Tena kikabila, kirangi, kidini, kiukanda na hata kiaina fulani za utofauti baina ya binadamu. Umaskini ni objective, huyu jamaa analeta subjective perceptions
 
Back
Top Bottom