Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #41
Hii si ungemuuliza mshangazi wako mkuu 😂Mkuu samahani.. nje ya mada..
Akuu Naskia ile nyimbo ya Why ya marioo mpya .. imefungiwa ety
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii si ungemuuliza mshangazi wako mkuu 😂Mkuu samahani.. nje ya mada..
Akuu Naskia ile nyimbo ya Why ya marioo mpya .. imefungiwa ety
Richness can never be a goal! Its just a destination. The goal is a financial freedomIf your only goal is to become rich, you will never achieve it.
Mimi naamini duniani hakuna tajiri wala maskini. Hayo maneno ni watu tu wameyajenga kwenye vichwa vyao.
Nipe definition yakoHii definition ya maskini umeitole wapi?
Pia hakuna maana halisi ya mtu kuwa tajiriIn this materialistic world? Una elim gani mkuu mbona mawazo haya hata form four tu hawez kuwa nayo. Umaskini haupo je utajiri upo au hakuna?
Take note, kwa dunia ya sasa umaskini unaangaliwa kwemye material world, yani kuna standard ya maisha ya kuishi mwanadam kutokana na mahitaji, sustainability na stability. Umaskini unatokea less than normal standard ambapo wanaotokea chiniya standard wanaishi misery life. Wanapitia ugum sana kupat basic needs, kufikia baadhi ya haki zao wenyewe na madhara mengineNipe definition yako
Umaskini unaendana na vulnerability, maskini sifa zao zinafanana tu, wengi utawakuta vijijin, urban slums na shanty town na sub urban. Wengi wanafanya kazi au shughuli zao sana katika informal sectors, wengine ni toilers katika viwanda na magodauni ya wahindi. Maskini wanakula kwa tabu sana, wanahangaika kupata hela za kula, hawaungani wala kusapotiana na rate ya imani ya uchawi miongoni mwao iko juu sana. Tajiri anatokea in vise versa..Pia hakuna maana halisi ya mtu kuwa tajiri
Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambaneMtu maskini maana yake ni mtu ambaye hana Mali kabisa, yaani networth yake ni 0 TZS.
Sasa mtu Kama huyu yupo kweli ?
Mkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.Take note, kwa dunia ya sasa umaskini unaangaliwa kwemye material world, yani kuna standard ya maisha ya kuishi mwanadam kutokana na mahitaji, sustainability na stability. Umaskini unatokea less than normal standard ambapo wanaotokea chiniya standard wanaishi misery life. Wanapitia ugum sana kupat basic needs, kufikia baadhi ya haki zao wenyewe na madhara mengine
So, umaskini kwa standard ya maisha na dunia iliyo-monetize kila kitu ni chini ya kipato (LIE), hapo patatokea vitu vingine kama ujinga, maradhi, uhaba na ukosefu.. kushindikana! Kukosekana etcetera. So maskini ukiangalia deep hata mikikati wezeshi hafikiki kirahis
Na umaskini upo na layers, kuna umaskini wa nchi, kinda, familia, kabila, mpaka umaskini wa mtu mmoja mmoja. Pia umaskini una levels yani kuna maskini ambaye hana kitu kabisa, kuna maskini ana chumba kimoja, kuna maskini ana nyumba ya vyumba vitatu. Na hawa wote kadri mmoja anavyotokea juu ndivyo anaona wa chni yake maskiniView attachment 3166620View attachment 3166621
Hayo yalikuwa ni mawazo tu. Mimi sijawahi kusema humu JF kuwa Nina Mahela, labda Kama hukunielewa kwenye posts za mwanzoni.Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane
ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Mimi sijaoa mkuuAcha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane
ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Umasiki upo wazi unaoneka haujifichi, hata ukishindwa kuelezeaMkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.
Wewe mwenyewe una yumba balaa mpaka unasema umaskini upo na layers.
Kitu kuwa na maana halisi maana yake unaweza ukamueleza mtu yeyote kwa mara moja na kukuelewa kwa urahisi.
Hayo mambo uliyo yaonyesha hapo nimeyasoma sana shuleni.
Hayo maelezo yako hata ukitumwa ukawafundishe wazee ambao hawajui kusoma na kuandika, hawawezi kuelewa hata ukiongea kwa kiswahili.
Ndio nimekueleza maana ya umasikini kwa mfano, kwa kuwa umekuwa ngumu kuelewaMimi sijaoa mkuu
Nilisema siteseki kwa sababu nina uwezo wa kujipatia basic needs of life, ila sina mahela.Acha kufanya rationalization mkuu kubali kuwa wewe ni masikini upambane
ujikwamue huko, sasa kama unaishi kwenye slams huko Mbagala- vyumba vya giza
wewe na mke na watoto wanaosoma mpo chumba kimoja na unatumia chini ya dola
dola moja kwa siku wewe utasema ni tajiri au ni fukara kabisa bora hata masikini.
Sawa.Umasiki upo wazi unaoneka haujifichi, hata ukishindwa kuelezea
unaonekana wazi
Layers lazima ziwepo hata kwenye utajiri.. lazima ukubali layers kwamba kuzidiana lakini hauwezi kushindwa kuelewa nn kinaongelewa. Kama hutaki kuelewa hulazimishwi. Huwezi kusema mtu anaemiliki chumba kimoja na mlala nje wako sawa.. lakini hauna sababu za kuwatoa kwenye umaskiniMkuu, poverty ni complex issue. Huwezi kuielezea kwa sentensi zilizonyooka na mtu aka kuelewa. Ndiyo mana hata WHO wame andika hapo.
Wewe mwenyewe una yumba balaa mpaka unasema umaskini upo na layers.
Kitu kuwa na maana halisi maana yake unaweza ukamueleza mtu yeyote kwa mara moja na kukuelewa kwa urahisi.
Hayo mambo uliyo yaonyesha hapo nimeyasoma sana shuleni.
Hayo maelezo yako hata ukitumwa ukawafundishe wazee ambao hawajui kusoma na kuandika, hawawezi kuelewa hata ukiongea kwa kiswahili.
Ila wewe sio tajiri sasa ndio uelewe kuna masikini, kipato cha kati na tajiriNilisema siteseki kwa sababu nina uwezo wa kujipatia basic needs of life, ila sina mahela.
Sawa mkuuNdio nimekueleza maana ya umasikini, kwa kuwa umekuwa ngumu kuelewa
Mimi sikusema kuwa ni tajiri.Ila wewe sio tajiri sasa ndio uelewe kuna masikini, kipato cha kati na tajiri
Umaskini unaelezeka vizuri kabisa. Tena kikabila, kirangi, kidini, kiukanda na hata kiaina fulani za utofauti baina ya binadamu. Umaskini ni objective, huyu jamaa analeta subjective perceptionsUmasiki upo wazi unaoneka haujifichi, hata ukishindwa kuelezea
unaonekana wazi
Kama sio tajiri ni nani?Mimi sikusema kuwa ni tajiri.