Usipoteze tumaini, dunia ndivyo ilivyo

Usipoteze tumaini, dunia ndivyo ilivyo

Ni imani yangu sote tu wazima, nina kila sababu leo kuongea na vijana wenzangu.

Sote tunafahama hali ya maisha, vita ya kulipigania tumbo ni vita ngumu zaidi kuliko ile ya kusaka utajiri. Ni kama ile vita ya kupigania uhai, unapambana ii uendelee kuitwa kiumve hai.

Kwa mara kadhaa nimekuwa nikiandika mada zenye mfululizo wa kufichua mazingira yenye bidhaa nafuu ili aliyekwama kuanza biashara kwa sabab hiyo aanze. Bado napata ukakasi yA kwamba bado tuna idadi kubwa ya vijana ambao hata kufikiria kufanya biashara hawajawahi pamoja na uhalisi uliopo.

Katika perspective hii, sababu za kushindwa walau kufikiria kwamba kuna siku wataanza biashara ni pamoja na kukosa mitaji, shinikizo la kuajiriwa kuwa na faida nyingi kuliko hasara nk. Biashara bado inalipa, pamoja na ugumu uliopo katika kulipambania tumbo na kujitegemea

Safari bado ni ngum, mwanzo unakatisha tamaa na mwisho unaoonekana wakati wa kuanza unaogofya sana. Never lose hope.

View attachment 3166540
Amiin
 
Mpango mwenyewe kabless
 

Attachments

  • 907ff8e5ee83447fa83bf10b55aa40c9.mp4
    840 KB
Back
Top Bottom