Dei Gratia Rex
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 423
- 696
Kwani mwanzoni kabisa niliandika nini kwenye huu Uzi ?Kama sio tajiri ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanzoni kabisa niliandika nini kwenye huu Uzi ?Kama sio tajiri ni nani?
Sio mgumu huyu kachagua kuwa changamoto tu.. na sisi tunaenda nae taratibuNdio nimekueleza maana ya umasikini kwa mfano, kwa kuwa umekuwa ngumu kuelewa
😂😂😂😂 ushatuharibia mada we kiande. Una elim gani? Wewe sio tajiri tumekubali tumekuuliza ni nani? Na kwa nn umejiweka class hiyo?Ninyi mna hasira za kupigwa na maisha
Kumbe...Hakika tupambane maisha ni vita
Kwani wewe unaona nimejiweka class ipi ?😂😂😂😂 ushatuharibia mada we kiande. Una elim gani? Wewe sio tajiri tumekubali tumekuuliza ni nani? Na kwa nn umejiweka class hiyo?
Wewe ni neutral, so hatuwez kujua kama umekataa hakuna umaskini na utajiri lazima utaukataa. So wew chagua mwenyew tabaka lako na utupe sababuKwani wewe unaona nimejiweka class ipi ?
Nitaeleza baadaye.Wewe ni neutral, so hatuwez kujua kama umekataa hakuna umaskini na utajiri lazima utaukataa. So wew chagua mwenyew tabaka lako na utupe sababu
Maisha ni vitaKumbe...
AmiinNi imani yangu sote tu wazima, nina kila sababu leo kuongea na vijana wenzangu.
Sote tunafahama hali ya maisha, vita ya kulipigania tumbo ni vita ngumu zaidi kuliko ile ya kusaka utajiri. Ni kama ile vita ya kupigania uhai, unapambana ii uendelee kuitwa kiumve hai.
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikiandika mada zenye mfululizo wa kufichua mazingira yenye bidhaa nafuu ili aliyekwama kuanza biashara kwa sabab hiyo aanze. Bado napata ukakasi yA kwamba bado tuna idadi kubwa ya vijana ambao hata kufikiria kufanya biashara hawajawahi pamoja na uhalisi uliopo.
Katika perspective hii, sababu za kushindwa walau kufikiria kwamba kuna siku wataanza biashara ni pamoja na kukosa mitaji, shinikizo la kuajiriwa kuwa na faida nyingi kuliko hasara nk. Biashara bado inalipa, pamoja na ugumu uliopo katika kulipambania tumbo na kujitegemea
Safari bado ni ngum, mwanzo unakatisha tamaa na mwisho unaoonekana wakati wa kuanza unaogofya sana. Never lose hope.
View attachment 3166540