Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Mmmmh!! Wanawake wengine mna gharama afu kutafuta pesa hamjui kila kitu mnategemea kuombaHabari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?
Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naww pia utasaidiwa tu ngoma droo haonewi mtu mwaga mboga nimwage ugali kwan nnHabari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?
Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga , upumbavu , utoto na ulimbukeni tu unawasumbua wala hakuna la maana sananaona Wajumbe mnatofautiana....
Tukumbushane wanawake(Jifunze kuishi bila yeye) - JamiiForums
Usipowajibika kama Mume jua una Mume mwenzio - JamiiForums
hivi kwanini baadhi ya wanawake wanadhani kugawa uke ni kukomoa mwanaume???
Ujumbe huu uwafikie wanaume wale wanaume wa dar na wale ambao kuhudumia kwao ni tatizo.Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?
Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ndogonaona Wajumbe mnatofautiana....
Tukumbushane wanawake(Jifunze kuishi bila yeye) - JamiiForums
Usipowajibika kama Mume jua una Mume mwenzio - JamiiForums
hivi kwanini baadhi ya wanawake wanadhani kugawa uke ni kukomoa mwanaume???
Kama tabia yako ni kuonja onja mishedede hata mumeo akupe kila kitu na kukugegeda kila siku bado utatoka tu.Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?
Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi huwa ni malaya wenye mawazo hayo mkuu wala sio wakuumiza nao kichwa.naona Wajumbe mnatofautiana....
Tukumbushane wanawake(Jifunze kuishi bila yeye) - JamiiForums
Usipowajibika kama Mume jua una Mume mwenzio - JamiiForums
hivi kwanini baadhi ya wanawake wanadhani kugawa uke ni kukomoa mwanaume???
Ni kweli maisha ya sasa ni kusaidiana huwezi tegemea pesa ya kuachiwa kuna siku tunakosa hata hela ya nauliWewe hata ukishughulikiwa ni nyapu yako,na lazima ujiongeze kwa kujitafutia kipato ili kumsaidia mmeo uza haya chapati,sio kukaa tuu kwenye kioo na kulegeza mitako tu,wenzio watafuta pesa ya kula na Mme anatafuta pesa za kujenga
Upumbavu tu unawasumbua.hivi kwanini baadhi ya wanawake wanadhani kugawa uke ni kukomoa mwanaume??
Njooo Dm tuyajengeHabari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?
Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na akiona kugegedwa nje ndiyo suluhisho,ni kumruhusu ahamie huko huko kabisa,(asirudi) ili ahudumiwe huko milele!!!Ni kweli maisha ya sasa ni kusaidiana huwezi tegemea pesa ya kuachiwa kuna siku tunakosa hata hela ya nauli
Harafu mjinga mmoja eti usipowajibika kama mume? kupigiwa kitu gani bana maisha yenyewe haya hatukumbuki kwa mara ya mwisho tumecheka lini maisha yamebana mpaka basi mtu analeta upuuzi wake inakela sana
Sent using Jamii Forums mobile app