Usipowajibika kama mume, tambua una mume mwenzio

Usipowajibika kama mume, tambua una mume mwenzio

Kwanini baadhi ya wanawake wanadhani kugawa uke ni kutukomoa [emoji23][emoji23] .

Utaskia nagawa kabisa.
Ni mitaahira hii mijanamke, yaani anapata mume anayemjali, ishu ni kipato tuu, anadanganyika na wa nje wanaompa karanga za kuonjeshwa bas anawazawadia na uchi kabisa wanamla wanamkimbia, anaona km ndo nafsi yake inanufaika, yaani...
Mi binafsi bora mke aniambie anashindwa kuwa na mimi tena so bora asepe kuliko kumvulia nguo mwanaume mwingine maana hata kale kaupendo katapotea chote
 
Tabia za Kipuuzi hizo, kama mwanamke hajielewi basi, yani unapewa pesa unadegua?? Buku tano kubwa sana
Kuna siku nlimrushia gf wangu pesa akanirudishia kwa kejeli ooh mimi ndo wa kunipa hii hela hii... yaani nelly unanirushia hii hela...chukua hela yako, bas wala sijahangaika naye nikamwambia kumbe unakariri kila siku ntakutumia nyingi nyingi, siku nikiwa sina si utasepa fasta, so ili tusije kuaibishana mbele ya safari we sepa sahv tuu kabla mambo hayajafika mbali
 
Kuna siku nlimrushia gf wangu pesa akanirudishia kwa kejeli ooh mimi ndo wa kunipa hii hela hii... yaani nelly unanirushia hii hela...chukua hela yako, bas wala sijahangaika naye nikamwambia kumbe unakariri kila siku ntakutumia nyingi nyingi, siku nikiwa sina si utasepa fasta, so ili tusije kuaibishana mbele ya safari we sepa sahv tuu kabla mambo hayajafika mbali
uamuzi mzuri kabisa
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalo neno....they can take it or leave it[emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine mwambie na mahitaji yako mengine
 
Sasa kwani 5,000 haitoshelezi?

Hapo inabidi uangalie na kipato cha mumeo,siyo kwa vile Asha amesimulia anapewa 20,000 na wewe unadai hivyo hivyo!

Simama na wewe umsuport mumeo, nyinyi wote ni binadamu kama kuna mapungufu mnasaidiana.

Halafu siyo unalilia pesa ya saluni wakati ndani hamjasave chochote.
Safi umeandika maneno mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Mwanaume lakini nisikiapo mtu anafanya hayo ni bora asaidiwe tuu. Ila ukifumaniwa akikufukuza pia usipige mayowe.
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hatubabaiki na maneno ya vitisho.mkipenda raha za kupitiliza na mauvivu yenu ya kuoetipeti sisi pia tuna nyamaza ila tunapata faraja kwa wanawake wenzenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
mi sijaoaa siwezi semaaa chochote ila mlio oa toeni povuu jamaa kazinguaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Namuonea huruma shemeji
Kila mtu ana formula ya matumizi ya kumpa mkewe, na matumizi ya nyumbani
Kiwango cha fedha ya kuacha nyumbani kinategemea facts nyingi kwa mfano bejeti yenu ikoje, wengine hununua vitu kwa wiki/mwezi na kutoa fedha za dharula kwa mama watoto za mwezi mzima, wengine hununua vitu kidogo kidogo (vibaba) hawa ndo wana maisha magumu zaidi.

Anyway we kama umeamua kuchepuka chepuka tu usitafute njia ya kuhalalisha uovu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu?

Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka apendeze, wanaume msipowajibika vizuri jueni mna wasaidizi wenu wa kutushuhulikia na kutupendezesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke mwenye akil akiona hiyo buku 5 haimtosh anaanza kuuza maandaz ili kukuza kipato cha familia, ila madanga mnaona solution ni kufukuliwa mtaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom