Usipuuzie ulaji wa matunda. Ina faida kubwa sana kiafya

Usipuuzie ulaji wa matunda. Ina faida kubwa sana kiafya

Shukrani ziwaendee wote waliotoa mada zinazohusiana na ulaji matunda humu jukwaani. Natumaini kuna walionufaishwa na hiyo Elimu kama nami nilivyonufaika.

Nilikuwa ninafahamu kuwa ni muhimu kula matunda kila siku, lakini JF kumeniongezea maarifa na kunihamsisha kuchukua hatua stahiki.

Imeshakuwa ni kawaida yangu kula matunda kila siku. Ni nadra sana siku kupita bila kula matunda.

Kuna kipindi niliamua kutokula chakula kingine chochote, isipokuwa matunda tu, kwa wiki kama moja hivi. Ilikuwa niendelee kufanya hivyo kwa muda mrefu zaidi, lakini nilibadilisha msimamo baada ya kusoma mtandaoni kuwa kula matunda pekee kunaweza kusababisha upungufu wa baadhi ya virutibisho mwilini.

Kwa siku hizi, ratiba yangu ni kama ifuatavyo:
Ninapoamka Asubuhi, kabla ya kupiga mswaki, napata kijiko kimoja cha asali mbichi.

Baadaye, nikishapiga mswaki, napata "breakfast" ya matunda na kisha kuelekea kazini. Chai nainywa saa nne kazini.

Mchana napata lunch ya kawaida, lakini ikishafika saa kumi na mbili Jioni, nimekuwa nikikwepa kula chakula cha kawaida. Imekuwa ni nadra sana Mimi kula chakula cha kawaida kama wali, ugali, n.k. baada ya saa kumi na mbili Jioni. Nakula matunda peke yake. Na Usiku kabla ya kulala, ninapata tena kijiko kimoja cha asali.

Matunda ambayo nimekuwa nikiyala kila siku ni ndizi mbivu na machungwa. Mara nyingi nakula ndizi 2 Asubuhi na mbili Jioni, ingawa wakati mwingine nazidisha kidogo, pamoja na chungwa moja Asubuhi na moja Jioni. Lakini huwa napishanisha kwa muda ulaji wa hayo matunda: ndizi na machungwa. Siyali pamoja.

Aidha, nimekuwa pia nikila karoti mara tatu kwa wiki: Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Vile vile, nimekuwa nikila parachichi mara mbili kwa wiki.

Baada ya kutembea na hiyo ratiba kwa mwezi mmoja hivi, nimeona matokea chanya ya kiafya. Ngozi ya mwili wangu imekuwa na mng'ao mzuri wa kiafya ambao naamini ni matokeo ya ulaji wa matunda.

Si lazima ufanye kama mimi, lakini jitahidi kula matunda, ikiwezekana, kika siku. Ni muhimu sana.

Kula matunda kila siku wewe na wapendwa wako. Naamini huo ni uwekezaji mzuri wa kiafya.
Poa yanaongeza sana nguvu za kiune Kwa wanaume,me ni shahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mdau wa matunda


adriz
Tende zisikose kwenye list yako.
 
Kwenye hiyo list yako ongezea na Apple [emoji519][emoji520]
Ndiyo, Apple na Tende. Huwa nazitumia pia, hasa tende, ni kawaida kuzikuta kwangu sema si mara nyingi napata fursa ya kuzila. Ndizi na chungwa zimekaba nafasi.

Ila apple nazo ni nzuri. Wanasema ONE APPLE A DAY KEEPS A DOCTOR AWAY
Hata hivyo, wanasema ndizi ina virutibisho vingi zaidi kuzidi apple.

Lakini ni tunda zuri na ninalipenda.

Asante kwa ushauri. Umepokelewa kwa mikono miwili.
 
Mkuu,

Huu n ujumbe mzuri,mm pia n mdau wa matunda japo siku hiz nmeacha kuyapa uzito kama mlo unaojitegemea .ilkua dinner n matunda

Ila nina hoja hapa ,

Wataalamu wa afya wanasema matunda yaliwe kwa akili na kwa uangalifu mkubwa kwan mwili hauna mfumo tofaut wa kuchakata sukar ya matunda (natural) na sukar artificial (ambazo tunaambiwa ndio mbaya kwa afya kama soda,juyce,nk) yaan mwili unachakata sukar kama sukar

Hvyo matunda yenye sukar nying kama tikit,ndiz,machungwa,nanasi yakiliwa kwa kais kingi yana athari sawa na alyekunywa soda/pombe/juyce za viwandan naamnukuu Dr.boaz mkumbo

Bado sjamnukuu dr Janabi [emoji28]

Science ya lishe imenishinda kabisa

Ila nafkiri kila chakula kitumike kwa kias kidogo hasa wanga,sukar na mafuta..tutakua kwenye nafasi ya kupata matokeo mazur ya kiafya.
 
Wa
Mkuu,

Huu n ujumbe mzuri,mm pia n mdau wa matunda japo siku hiz nmeacha kuyapa uzito kama mlo unaojitegemea .ilkua dinner n matunda

Ila nina hoja hapa ,

Wataalamu wa afya wanasema matunda yaliwe kwa akili na kwa uangalifu mkubwa kwan mwili hauna mfumo tofaut wa kuchakata sukar ya matunda (natural) na sukar artificial (ambazo tunaambiwa ndio mbaya kwa afya kama soda,juyce,nk) yaan mwili unachakata sukar kama sukar

Hvyo matunda yenye sukar nying kama tikit,ndiz,machungwa,nanasi yakiliwa kwa kais kingi yana athari sawa na alyekunywa soda/pombe/juyce za viwandan naamnukuu Dr.boaz mkumbo

Bado sjamnukuu dr Janabi [emoji28]

Science ya lishe imenishinda kabisa

Ila nafkiri kila chakula kitumike kwa kias kidogo hasa wanga,sukar na mafuta..tutakua kwenye nafasi ya kupata matokeo mazur ya kiafya.
Nashukuru mkuu, ila wakati mwingine ni kama vile wataalamu wanatuchanganya.
 
Shukrani ziwaendee wote waliotoa mada zinazohusiana na ulaji matunda humu jukwaani. Natumaini kuna walionufaishwa na hiyo Elimu kama nami nilivyonufaika.

Nilikuwa ninafahamu kuwa ni muhimu kula matunda kila siku, lakini JF kumeniongezea maarifa na kunihamsisha kuchukua hatua stahiki.

Imeshakuwa ni kawaida yangu kula matunda kila siku. Ni nadra sana siku kupita bila kula matunda.

Kuna kipindi niliamua kutokula chakula kingine chochote, isipokuwa matunda tu, kwa wiki kama moja hivi. Ilikuwa niendelee kufanya hivyo kwa muda mrefu zaidi, lakini nilibadilisha msimamo baada ya kusoma mtandaoni kuwa kula matunda pekee kunaweza kusababisha upungufu wa baadhi ya virutibisho mwilini.

Kwa siku hizi, ratiba yangu ni kama ifuatavyo:
Ninapoamka Asubuhi, kabla ya kupiga mswaki, napata kijiko kimoja cha asali mbichi.

Baadaye, nikishapiga mswaki, napata "breakfast" ya matunda na kisha kuelekea kazini. Chai nainywa saa nne kazini.

Mchana napata lunch ya kawaida, lakini ikishafika saa kumi na mbili Jioni, nimekuwa nikikwepa kula chakula cha kawaida. Imekuwa ni nadra sana Mimi kula chakula cha kawaida kama wali, ugali, n.k. baada ya saa kumi na mbili Jioni. Nakula matunda peke yake. Na Usiku kabla ya kulala, ninapata tena kijiko kimoja cha asali.

Matunda ambayo nimekuwa nikiyala kila siku ni ndizi mbivu na machungwa. Mara nyingi nakula ndizi 2 Asubuhi na mbili Jioni, ingawa wakati mwingine nazidisha kidogo, pamoja na chungwa moja Asubuhi na moja Jioni. Lakini huwa napishanisha kwa muda ulaji wa hayo matunda: ndizi na machungwa. Siyali pamoja.

Aidha, nimekuwa pia nikila karoti mara tatu kwa wiki: Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Vile vile, nimekuwa nikila parachichi mara mbili kwa wiki.

Baada ya kutembea na hiyo ratiba kwa mwezi mmoja hivi, nimeona matokea chanya ya kiafya. Ngozi ya mwili wangu imekuwa na mng'ao mzuri wa kiafya ambao naamini ni matokeo ya ulaji wa matunda.

Si lazima ufanye kama mimi, lakini jitahidi kula matunda, ikiwezekana, kika siku. Ni muhimu sana.

Kula matunda kila siku wewe na wapendwa wako. Naamini huo ni uwekezaji mzuri wa kiafya.
Matunda ni chakula bora kuliko vyote duniani sema mindset zetu ndo zinatucost. Hebu fikiria KWANINI MUNGU ALIWAWEKA BINADAMU WA KAWANZA KATIKA BUSTANI YA EDENI ILIYOSHEHENI MATUNDA YA KILA AINA?
Unadhani hakuna nyama kipindi kile?
La hasha!
Alijua matunda ni bora kuliko chochote,,,TULE MATUNDA KWA AFYA ZETU.
 
Shukrani ziwaendee wote waliotoa mada zinazohusiana na ulaji matunda humu jukwaani. Natumaini kuna walionufaishwa na hiyo Elimu kama nami nilivyonufaika.

Nilikuwa ninafahamu kuwa ni muhimu kula matunda kila siku, lakini JF kumeniongezea maarifa na kunihamsisha kuchukua hatua stahiki.

Imeshakuwa ni kawaida yangu kula matunda kila siku. Ni nadra sana siku kupita bila kula matunda.

Kuna kipindi niliamua kutokula chakula kingine chochote, isipokuwa matunda tu, kwa wiki kama moja hivi. Ilikuwa niendelee kufanya hivyo kwa muda mrefu zaidi, lakini nilibadilisha msimamo baada ya kusoma mtandaoni kuwa kula matunda pekee kunaweza kusababisha upungufu wa baadhi ya virutibisho mwilini.

Kwa siku hizi, ratiba yangu ni kama ifuatavyo:
Ninapoamka Asubuhi, kabla ya kupiga mswaki, napata kijiko kimoja cha asali mbichi.

Baadaye, nikishapiga mswaki, napata "breakfast" ya matunda na kisha kuelekea kazini. Chai nainywa saa nne kazini.

Mchana napata lunch ya kawaida, lakini ikishafika saa kumi na mbili Jioni, nimekuwa nikikwepa kula chakula cha kawaida. Imekuwa ni nadra sana Mimi kula chakula cha kawaida kama wali, ugali, n.k. baada ya saa kumi na mbili Jioni. Nakula matunda peke yake. Na Usiku kabla ya kulala, ninapata tena kijiko kimoja cha asali.

Matunda ambayo nimekuwa nikiyala kila siku ni ndizi mbivu na machungwa. Mara nyingi nakula ndizi 2 Asubuhi na mbili Jioni, ingawa wakati mwingine nazidisha kidogo, pamoja na chungwa moja Asubuhi na moja Jioni. Lakini huwa napishanisha kwa muda ulaji wa hayo matunda: ndizi na machungwa. Siyali pamoja.

Aidha, nimekuwa pia nikila karoti mara tatu kwa wiki: Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Vile vile, nimekuwa nikila parachichi mara mbili kwa wiki.

Baada ya kutembea na hiyo ratiba kwa mwezi mmoja hivi, nimeona matokea chanya ya kiafya. Ngozi ya mwili wangu imekuwa na mng'ao mzuri wa kiafya ambao naamini ni matokeo ya ulaji wa matunda.

Si lazima ufanye kama mimi, lakini jitahidi kula matunda, ikiwezekana, kika siku. Ni muhimu sana.

Kula matunda kila siku wewe na wapendwa wako. Naamini huo ni uwekezaji mzuri wa kiafya.
Mimi nilipo matunda hadimu sana ila kuna tikiti na tango tu na samaki wapo wakimwaga na kuku wa kienyeji na maziwa ya kienyeji na majani ya maboga mikunde kisamvu mchicha dona sana na bakuli la majani ya maboga na samaki mchemsho
 
Mimi nilipo matunda hadimu sana ila kuna tikiti na tango tu na samaki wapo wakimwaga na kuku wa kienyeji na maziwa ya kienyeji na majani ya maboga mikunde kisamvu mchicha dona sana na bakuli la majani ya maboga na samaki mchemsho
Kuku wa kienyeji!
Samaki mchemsho
Matikiti na matango!
Kisamvu, majani ya maboga, mikunde...n.k.

Mpaka na maziwa!

Hongera kwa kufaidi mema ya nchi!!!
 
Shukrani ziwaendee wote waliotoa mada zinazohusiana na ulaji matunda humu jukwaani. Natumaini kuna walionufaishwa na hiyo Elimu kama nami nilivyonufaika.

Nilikuwa ninafahamu kuwa ni muhimu kula matunda kila siku, lakini JF kumeniongezea maarifa na kunihamsisha kuchukua hatua stahiki.

Imeshakuwa ni kawaida yangu kula matunda kila siku. Ni nadra sana siku kupita bila kula matunda.

Kuna kipindi niliamua kutokula chakula kingine chochote, isipokuwa matunda tu, kwa wiki kama moja hivi. Ilikuwa niendelee kufanya hivyo kwa muda mrefu zaidi, lakini nilibadilisha msimamo baada ya kusoma mtandaoni kuwa kula matunda pekee kunaweza kusababisha upungufu wa baadhi ya virutibisho mwilini.

Kwa siku hizi, ratiba yangu ni kama ifuatavyo:
Ninapoamka Asubuhi, kabla ya kupiga mswaki, napata kijiko kimoja cha asali mbichi.

Baadaye, nikishapiga mswaki, napata "breakfast" ya matunda na kisha kuelekea kazini. Chai nainywa saa nne kazini.

Mchana napata lunch ya kawaida, lakini ikishafika saa kumi na mbili Jioni, nimekuwa nikikwepa kula chakula cha kawaida. Imekuwa ni nadra sana Mimi kula chakula cha kawaida kama wali, ugali, n.k. baada ya saa kumi na mbili Jioni. Nakula matunda peke yake. Na Usiku kabla ya kulala, ninapata tena kijiko kimoja cha asali.

Matunda ambayo nimekuwa nikiyala kila siku ni ndizi mbivu na machungwa. Mara nyingi nakula ndizi 2 Asubuhi na mbili Jioni, ingawa wakati mwingine nazidisha kidogo, pamoja na chungwa moja Asubuhi na moja Jioni. Lakini huwa napishanisha kwa muda ulaji wa hayo matunda: ndizi na machungwa. Siyali pamoja.

Aidha, nimekuwa pia nikila karoti mara tatu kwa wiki: Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Vile vile, nimekuwa nikila parachichi mara mbili kwa wiki.

Baada ya kutembea na hiyo ratiba kwa mwezi mmoja hivi, nimeona matokea chanya ya kiafya. Ngozi ya mwili wangu imekuwa na mng'ao mzuri wa kiafya ambao naamini ni matokeo ya ulaji wa matunda.

Si lazima ufanye kama mimi, lakini jitahidi kula matunda, ikiwezekana, kika siku. Ni muhimu sana.

Kula matunda kila siku wewe na wapendwa wako. Naamini huo ni uwekezaji mzuri wa kiafya.
.
Screenshot_20230902-055202.jpg
 
Matunda ni chakula bora kuliko vyote duniani sema mindset zetu ndo zinatucost. Hebu fikiria KWANINI MUNGU ALIWAWEKA BINADAMU WA KAWANZA KATIKA BUSTANI YA EDENI ILIYOSHEHENI MATUNDA YA KILA AINA?
Unadhani hakuna nyama kipindi kile?
La hasha!
Alijua matunda ni bora kuliko chochote,,,TULE MATUNDA KWA AFYA ZETU.
Uliyaona hayo kila aina ya matunda?
 
Life is temporary,ukifa na ngozi nzuri inakusaidia huko kaburini.mi nakula chakula ninachojisikia,nakua tunda nikiwa na hamu nalo,nakula nyama,nakula samaki,napiga supu ya ulimi,mkia,kongoro,nakunywa bia castle lite baridi,kitimoto roast na ndizi saafi ,sijawahi kuumwa huu mwaka zaidi ya wakumi,napiga shoo kwa mama yeyoo kama kawa.kuishi kwa uoga kwa kuogopa kufa ni ujinga.enjoy
 
Back
Top Bottom