Mimi nitasema ukweli juu ya kifo hichiii naibu waziri ndo mhusika mkuu na hawezi kutumia njia yoyote Ile kujisafisha
Kwanini mnaficha ukweli ambao tayari unajulikana
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?
Nusura amefariki siku ambayo Polisi-Dodoma
waliamua kutangaza ajali ya Naibu Waziri
OR-TAMISEMI 29/04/2023. Coincidence?
Source: unacknowledged