Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mwanamke ni Mbinafs sana hawafai kbs.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tuamie upande wa Pili, mwanaume unamshauri afanyaje aruhusu kumuingiza kwenye nyumba aliyoijenga au sio?Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako
Kaya was a man aiya & ai man ?🍁 .........kush master.........🍁
😀😀😀Kaya was a man aiya & ai man ?
Baada ya kuoa muingize kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako, ni mkeo huyo na wewe ni kichwa cha familia.mwanaume unamshauri afanyaje aruhusu kumuingiza kwenye nyumba aliyoijenga au sio?
Hapananawewe pia ni mvulana?
😂Ila wanawake daaaah ndo maana tunawanyanyasa sana
Hiyo ni kwa wanawake tu ?Mkuu ni marufuku kusema tumejenga au tuna nyumba. Popote tunapoishi tumepanga.
Huu uzi ni special Kwake Ke, povu la nini bwashee ?Kwa hiyo,umeona una akili sanaaaa! Hao wanawake wenye hizo nyumba,wanapowapeleka hao wanaume unaowalalamikia kwao,unapungukiwa nini? Hawana akili mpaka uwakumbushe? Wewe ulijiona wa maana,mshikaji kakuchezea sana,umeona leo mzigo uje uutwishe JF! Komaa
Wanaotoa mapovu sasa.....Huu uzi una mapovuuuu 🤣🤣🤣
Unawavurigia mipango wenzio. Ukute wanaishi au walikuwa wanajiandaa kuhamia🤣🤣Wanaotoa mapovu sasa.....
😂 😂
Wanataka usawa hebu tufafanulie kwanza tueleweMwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu na waume zao wazembe.
Wanaotaka usawa ni wale wafuasi wa LGBT tu.Wanataka usawa hebu tufafanulie kwanza tuelewe
Siwavurugii bali nawaamsha walinde heshima ya mwanaume.Unawavurigia mipango wenzio. Ukute wanaishi au walikuwa wanajiandaa kuhamia🤣🤣