Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
Kama mwanamke anaenda kwenye nyumba ambayo hajajenga na halipi kodi, alafu anakua comfortable, iweje ishindikane kwa mwanaume? Kwanini kwa mwanaume ionekane ni kupenda kitonga?

Shida ni kwamba, Feminists wengi hamjui mnachokipigania. Hata 50/50 mnayoitaka pia hamuelewi tafsiri yake kiundani.
 
Una hoja wanaume wa sikuhizi wapenda kitonga na hawana haya unaendeleaje Kwa nyumba ambayo hulipi kodi Wala hujajenga na inakuwa comfortable
Mbn nyie mnakaa kwenye nyumba zetu hamlip Kodi wala hamjajenga na mnakua comfortable na hamna anaewabugudh achen uchoyo kmmk
 
Kama mwanamke anaenda kwenye nyumba ambayo hajajenga na halipi kodi, alafu anakua comfortable, iweje ishindikane kwa mwanaume? Kwanini kwa mwanaume ionekane ni kupenda kitonga?

Shida ni kwamba, Feminists wengi hamjui mnachokipigania. Hata 50/50 mnayoitaka pia hamuelewi tafsiri yake kiundani.
Safi bro
Hawa ombaomba tunawahifadh tunawalisha tunawavisha tunawatibu na bado kwenye chΓ kula tunachonunua kwa pesa zetu wanatutilia midawa tufe warith Mali zetu kudadadek zao
 
Gongelea pale pale πŸ˜‚
πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...

Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.

Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …

1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.

Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.

Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.

2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.

Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.

Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.

3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.

Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.

NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Hakuna kitu kibaya kama umaskini wewe una nyumba au kibanda?

Kuzaliwa familia maskini ndio unakuwa na hivyo vi concept vya kimaskini

Ndio maana matajiri wengi huwa hawataki mtoto wao wa kike aolewe na familia ya kimaskini hata huyo mtoto.wao wa kiume awe Proffessor

Mleta mada kaoe maskini wenzio una pepo la umaskini wewe na ukoo wako na wazazi wako kaa mbali na watoto wa kike toka familia za wenye uwezo usije ambukiza familia za wenye uwezo pepo lenu la umaskini bakini nalo hukoko kwenu na kwenye ukoo wenu kwa Jina la Yesu

Mungu awakwepeshe na kila mtoto wa kike mwenye uwezo muishie kuoana maskini watupu kwa jina la Yesu

Kaoe mashenzini kwenu huko kulikojaa kunguni na mnalala chini na kusoma ulisoma kwa shida sababu ya ulofa wa familia yako kaoe saizi yako kwa maskini wenzio huko ulikozaliwa mpe taarifa na mama yako mpuuzi wewe
 
Back
Top Bottom