Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Kuna mmoja yupo hapa jiran kakuta janamke la kichaga lishajenga 2 houses tena nzur na ka gar na watoto,picha linaanza watoto wale wa like hawamuheshimu baba ,wanavaa vibaya mbele yake. Ila utamkuta mzee kavimba kwenye kagar, lile limama linamgombezaga had mbele za watu. Mbayaaaa
 
Mleta mada kaoe maskini wenzio una pepo la umaskini wewe na ukoo wako na wazazi wako kaa mbali na watoto wa kike toka familia za wenye uwezo usije ambukiza familia za wenye uwezo pepo lenu la umaskini bakini nalo hukoko kwenu na kwenye ukoo wenu kwa Jina la Yesu
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
 
Kuna mmoja yupo hapa jiran kakuta janamke la kichaga lishajenga 2 houses tena nzur na ka gar na watoto,picha linaanza watoto wale wa like hawamuheshimu baba ,wanavaa vibaya mbele yake. Ila utamkuta mzee kavimba kwenye kagar, lile limama linamgombezaga had mbele za watu. Mbayaaaa
Yethuu na Marie!
 
Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...

Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.

Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …

1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.

Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.

Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.

2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.

Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.

Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.

3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.

Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.

NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Kutoka kwenye nyumba uliojenga afu kwenda kupanga nako mtihani [emoji854]
 
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
Sifuti mtoto yeyote.wa kike kutoka familia tajiri asikubali kuolewa na lofa au kutoka familia ya kilofa aolewe na mtu saizu yake

Biblia inatamka wazi Mungu alisema nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye

Lofa wa kiume hafanani na mwanamke mwenye uwezo.toka familia yenye uwezo

Kukubali mtoto wa kike kuolewa na ambaye mtoto wa kike kamzidi uwezo ni kukiuka maandiko amweleze live kaoe saizi yako achana na mimi kwa Jina la Yesu toka nenda kaoe saizi yako pepo wewe amkemee kama anavyokemea pepo litoke mbele yake kwa Jina la Yesu
 
Unatukana matusi kwa jina la Yesu!

Pole Mario futa tu mihemko ya kutamani kuhamia mjengoni kwa mkeo
Mtoto maskini wa kiume kuoa msichana.wa kike mwenye uwezo hapana
Haikubaliki hata Kibilia
Akaoe maskini mwenzie watajuana huko mbeleni wakifanikiwa sawa kila heri

Lakini kila kijana wa kiume awe saizi.yake kuepusha migogoro mbeleni
 
Back
Top Bottom