Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

mwanaume unamshauri afanyaje aruhusu kumuingiza kwenye nyumba aliyoijenga au sio?
Baada ya kuoa muingize kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako, ni mkeo huyo na wewe ni kichwa cha familia.

Ikiwa hujajenga mpeleke kwa nyumba ya kupanga mkaanze maisha ya pamoja kwako.
 
Mkuu ni marufuku kusema tumejenga au tuna nyumba. Popote tunapoishi tumepanga.
 
Kwa hiyo,umeona una akili sanaaaa! Hao wanawake wenye hizo nyumba,wanapowapeleka hao wanaume unaowalalamikia kwao,unapungukiwa nini? Hawana akili mpaka uwakumbushe? Wewe ulijiona wa maana,mshikaji kakuchezea sana,umeona leo mzigo uje uutwishe JF! Komaa
 
Huu uzi ni special Kwake Ke, povu la nini bwashee ?
 
Wanataka usawa hebu tufafanulie kwanza tuelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…