Usisiome kozi hizi..!

Usisiome kozi hizi..!

Nimesoma Agribusness, tena nikawa CR wa kutegemewa pale SUA. Nikatoka na GP ya 3.3, saizi sina kazi yoyote zaidi ya kula madem tu huku Kirakara.
Mwaka gan mkuu umemalza.Omba internship Sugeco/NMB uende mambele..Hao mademu acha mzee utapoteza focous ya kupambana.
 
KOZI AMBAZO SIMSHAURI MTU KUSOMA NI HIZI ZIFUATAZO
1. PROCUREMENT
2 .FOREIGN RELATION
3. BUSINESS ADMINISTRATION
4: HUMAN RESOURCE
5: ENGINEERING
6: BCOM
7: MD
8: SOCIOLOGY
9: ComMUNITY DEVELOPMENT

WEWE WEKA KOZI AMBAZO NI KICHOMIIIIII HAMNA AJIRA KABISAAA
Engineering ni moja ya kozi bora kabisa kusoma..... ukikosa ajira, kujiajiri ni rahisi sana.
 
KOZI AMBAZO SIMSHAURI MTU KUSOMA NI HIZI ZIFUATAZO
1. PROCUREMENT
2 .FOREIGN RELATION
3. BUSINESS ADMINISTRATION
4: HUMAN RESOURCE
5: ENGINEERING
6: BCOM
7: MD
8: SOCIOLOGY
9: ComMUNITY DEVELOPMENT

WEWE WEKA KOZI AMBAZO NI KICHOMIIIIII HAMNA AJIRA KABISAAA
project planning management and community development,, serikalini kupata ajira ni mtihani
 
Nimesoma Agribusness, tena nikawa CR wa kutegemewa pale SUA. Nikatoka na GP ya 3.3, saizi sina kazi yoyote zaidi ya kula madem tu huku Kirakara.
Kirakara = Kilakala. Hiyo ni sababu mojawapo inayofanya usote.
 
Nimesoma Agribusness, tena nikawa CR wa kutegemewa pale SUA. Nikatoka na GP ya 3.3, saizi sina kazi yoyote zaidi ya kula madem tu huku Kirakara.
Unakula wapishi wa nsiima?[emoji23][emoji23]
 
KOZI AMBAZO SIMSHAURI MTU KUSOMA NI HIZI ZIFUATAZO
1. PROCUREMENT
2 .FOREIGN RELATION
3. BUSINESS ADMINISTRATION
4: HUMAN RESOURCE
5: ENGINEERING
6: BCOM
7: MD
8: SOCIOLOGY
9: ComMUNITY DEVELOPMENT

WEWE WEKA KOZI AMBAZO NI KICHOMIIIIII HAMNA AJIRA KABISAAA
Yani umeanz na my professional jamni
 
1 Bahati
2 Excellence
mimi ningekua dem mngesema niligawa mbunye yani Mungu ni mkubwa sana siku zote bila connection bila vigezo vyote BAANG
 
Back
Top Bottom