Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

Kumbe mtoto mwenyewe huna bado???😁😁
 
Reactions: Cyb
Sijakataa kuwa connection ni muhimu. Ukiwa na ufundi wako, ukishuhudiwa kuwa mchapa kazi na kijitengenzezea jina kwa kazi zako, ukiishi vizuri na watu na kuwa na watu wa kuku support (mf. Family) connection zinatokea naturally. That's the mentality nataka mwanangu awe nayo. Just build yourself and be a good human being.

Kinachonipa ukakasi ni hiyo mentality kwenye huo mfano wa Mo Dewji ulioutoa. I guess it's so ingrained in you you don't see any problem with it.

Wangapi wamesoma na Mo Dewji na wangapi "wametoka" kupitia Mo Dewji kwasababu tu walikuwa class mates?

Ndo tofauti ya mwanao na mwana wa Mo Dewji. Mwana wa Mo Dewji kasoma akiwaza miradi ya baba yake. Mwanao kasoma akiwaza ana connection na mtoto wa Mo Dewji. 😄😄.

Lakini vyovyote vile Kila mtu apambane tu anavyoona yeye. Hii topic ya mambo ya pesa ni complex, we are all making many assumptions and hasty generalizations here, na me sio mtaalam wa haya mambo.

Maana pia kuna watu ambao kwenda shule ni by the way but they have the money to survive lavishly without holding a finger up for the rest of their lives to the next generation.
 
Reactions: Cyb


Dua la Kuku halimpati mwewe, pambana na hali yako
 
Una hoja ila bila kukuficha Africans we are not capable of building family business or brands Asians are good na waweza sababu ya connections kubwa za wao kwa wao sio as a family but as Asians wawe waarabu au wahindi waswahili family tu kukupa connection within the family itself shida Sana hata ku consume tu products zako au services zako as their family member mtihani.Wanapenda out of family products or service s

Halafu waswahili wachuuzi tu viwanda wahindi na waarabu ndio wanavyo na ndio biggest wholesale importers hiyo family business unaijengea wapi bila connection nao?

Ni big challenge but your argument theoretically iko correct

Waswahili piga ua bila connection kutoka kugumu ndio maana biashara nyingi za waswahili hufa au kufanya Vibaya mno akifa aliyekuwa na connections .

Theoretically uko sahihi lakini practically No.
 
Reactions: Cyb
Kifupi mzazi Kama pesa unazo somesha mtoto shule nzuri usipofanya hivyo iko siku atakuporomoshea matusi ya nguoni mchana kweupe kuwa hukumjali wakati pesa ulikuwa nazo

Watoto ambao wazazi wenu Wana pesa ongeeni kabisa mna haki Kama watoto kuwa mzazi una hela huwezi kunipeleka shule hovyo Kama hii uliyonipeleka hunitendei haki
 
Peleka private ya kawaida shule ya msingi

Kisha mkazanie sekondari asome government
Huu ndio mpango uliopo mkuu ,angalau sekondari atakua mkubwa kidogo ajipambanie
 
Elimu kwa sasa imebadilika, wakati huo vilaza ndiyo waliomba kwenda vyuo kusomea certificates ya fani watakazo - vipanga wote ilikuwa Five Six then baada ya hapo wenye III Advance Diploma na wenye I and II ni Chuo kikuu - wakati huo vyuo vikuu vilikuwa 3 tu, Mlimani, SUA na Muhimbili Medical.

Kwa sasa vyuo vikuu sawa na idadi ya shule zilizopo, na kila chuo kina mchakato wa Certificate hadi Degree, miaka hiyo ukianza certificate mwisho wako utakuwa Advance Diploma, degree hutakaa uione.

Wa advance diploma akitaka kupata Masters Degree ni lazima kwanza asome PostGraduate Diploma mwaka mmoja.

Ni kweli mambo yamebadilika, mtoto anamaliza form four na Div Four lakini baada ya miaka 6 and Degree. Certificate mwaka 1, Diploma miaka 2, na Degree miaka 3.
 
Comment ya Kimaskini sana hii kama roho yako, unamfatilia wa nini Mpaka unajua siku anayosimamishwa Ada kama sio uchawi huo
Hakuna uchawi mkuu,,kila kitu kipo wazi.

Kulikuwa na sababu gn ya kubeba family nzima kusubiri school bus.
Pia kuna sababu gn ya kumficha mtoto asipokwenda shule?
 
Siyo kweli kwa herufi kubwa.
Mkuu fuatilia hili,,mm nimeshajiridhisha kwa hilo.

Now elimu imekuwa ni biashara,,wapo wamiliki wa shule wanatumia juhudi binafsi kuhakikisha shule yake inapata ufaulu mzr ili iendelee kupata wanafunzi wengi na shule kupata soko zaidi...
 
Kwa hiyo pendekezo lako wazazi wapeleke shule za bwerere ambazo hazina mwenyewe kwenye ufaulu wa chini?

Mzazi yeyote atapenda kumpa mwanae kilicho Bora kuanzia nguo zake avae Bora chakula chake ale Bora na elimu yake asome shule Bora
Uwe ufaulu wa kwl sio ufaulu wa bao la mkono
 
Mkuu fuatilia hili,,mm nimeshajiridhisha kwa hilo.

Now elimu imekuwa ni biashara,,wapo wamiliki wa shule wanatumia juhudi binafsi kuhakikisha shule yake inapata ufaulu mzr ili iendelee kupata wanafunzi wengi na shule kupata soko zaidi...
Angalia vitabu vyao , angalia sylabus yao, halafu fuatilia namna wanavyosoma ndipo utagundua kuwa kazi kubwa inafanyika kumjengea mtoto uwezo darasani.

Kawaida hizi shule ylabus inaisha mapema kwasababu ya bidii ya walimu kwenye vipindi.

Baada ya hapo huanza kufanya revision kwa sehemu ambazo ziliwasumbua wanafunzi.
Halafu walimu wana close supervion kiasi karibu kila mtoto wanakuwa wanajua uwezo wake na wapi anakwama na hufanya bidii kusaidia na mzazi pia unaambiwa kuhusu hilo.

Watoto wanasoma sana ndio maana wanakuwa na uwezo mkubwa.

Huyakuti haya kayumba. Sylabus iishe isiishe hawajali.
Mtoto akiwa anakwama sehemu atajua mwenyewe ili mradi aje shule tu.

Kwa nilivyofuatilia mimi nimegundua hizi tofauti.
 
Mkuu nimejiridhisha kuna bao la mkono ktk shule za private.

Niliangalia matokeo ya darasa la 7 2021/2022 kuna shule moja ya private. wamepasi shule nzima
Kwa alama A na B ..wastani.
C wala D..hakuna

Hii aiwezekani na kwa akili ya kawaida ,,
 
Wanasomesha huko ki ufahari na ulimbukeni tu waonekane wana hela na pia watoto wao wajue english, kumbe hakuna lolote huko. Kama mtoto ana akili, ana akili tu hata akisoma shule za kawaida atafaulu
Tatizo lako Unadhan shuleni ni elimu tu... Tunaangalia na malezi... Shuke Ina darasa lenye wanafunzi 400 afu na wew una peleka mwanao huko....
Ya nin Wakati umejaliwa hela ya ada?
Nita peleka kwenye darasa la wanafunzi 50.
Hela kwangu haina maana kama nitamtesa mwanangu
 
Mkuu nimejiridhisha kuna bao la mkono ktk shule za private.

Niliangalia matokeo ya darasa la 7 2021/2022 kuna shule moja ya private. wamepasi shule nzima
Kwa alama A na B ..wastani.
C wala D..hakuna

Hii aiwezekani na kwa akili ya kawaida ,,
Kama uliielewa topiki ya probability mambo ya sample space Huwezi tikia shaka. Tena primary?

What abt f4 shule Ina dv 0ne Za singo digit tu?
 
Umepotoka
. 1. Hatusomeshi mtoto ili apate ajira.
2. Shuleni ni zaidi ya elimu.. Si kama unavodhani
3. Sampling yako umefanya utafiti kwa mwanao tu then Unataka ugeneralize
4. Kesho njoo na hoja Za hosptal binafs watu wasiende kutibiwa huko kwa kuwa ni gharama
 
Mkuu nimejiridhisha kuna bao la mkono ktk shule za private.

Niliangalia matokeo ya darasa la 7 2021/2022 kuna shule moja ya private. wamepasi shule nzima
Kwa alama A na B ..wastani.
C wala D..hakuna

Hii aiwezekani na kwa akili ya kawaida ,,
Upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…