Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

We naweeeeh Kwani lazima wote tulime bustani ili iwejee [emoji23][emoji23][emoji1787] ujinga mtupu..
Wacheni watu waishi maisha yao na wewe ishi yako ..
Tafuta pesa kaka hizo zote ni dalili za kutokua na pesa acha makasiriko
Sawa mkuu,,
 
We sema huna hela Ndio maneno yanakutoka pole yako...
Ni sawa mtu anakaa masaki na wewe unakaa manzese useme wa masaki anajidai kukaa masaki
Mwenye pesa anaonekana usoni,,si lazima uigize maisha..

Kwani masaki hakuna watu wenye njaa?

Zile nyumba Tu,,kuna watu wanaishi mle na mfukoni hana kitu.
 
Sawa mkuu,,kama mtoto kutokujuwa hata kufagia au kuwa goigoi ni dalili za utajiri basi idadi ya matajiri wataongezeka Tanzania ikifika 2030..
 
kama ni kituo cha kulea watoto sawa ila sio sehemu sahii zaidi kuliko shule zingine za kawaida. Hii ni sawa na kwenda mwanza ukachagua usafiri wa ndege au basi, mwanza utafika tu
Hakika mkuu.
 
Hakika mkuu hiyo ni proved kabisa,,

Shule za private ni biashara.so wanambinu za ufaulu ili wawe hot sokoni..
Nina watoto huko na nimechunguza vitu vingi sana, najua mambo mengi.
Najua tofauti za hizo shule zenyewe, maana kuna za wahindi, zenye standard ya ulaya na USA, za watanzania lakini zimeboreshwa nk.
Najua utofauti wa kayumba na hizi english medium.
Kuna miezi kadhaa mtoto wangu alisoma kayumba, niliongea mengi na walimu wa hiyo shule wakati namhamisha mtoto wangu kumrudisha english medium.

Najua struggle zinazofanyika.
Bahati mimi ni mmoja wa wazazi ambao mtoto akirudi nyumbani likizo ananikuta mimi ni mwalimu mwingine namsubiria.

Kiufupi nina mengi ya kusema kuhusu hizo shule. Ikiwemo viwango vya walimu wanaoajiriwa huko na mishahara yao na treatment zao.

Nina mengi gwa kukaja.
 
Matajiri watasema huna hela
 
Somesha mtoto shule za hela akachangamane na watoto wa matajiri, viongozi, wanasiasa Ili apate exposure na connection,kwani bila connection life haiendi.
ni fasheni tu, mi mwenyewe nimesoma na watoto wa mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa, wanasiasa na wafanyabiashara, kisha nikafundisha hizo shule, ni za kawaida sana
 
Sawa sawa, nime-stop arqueing with yoi
 
Kuwapa watoto elimu tu haitoshi,watafutie na kitu cha kufanya baada ya shule.
 
So unatengeneza chawa wa baadae?
 
Makasiriko ya nn?
 
Trust me elimu ni bure siku hizi ssbabu resources ziko kila kona.

Sems tumekazs fuvu tunataka kutsmbiana tu
 
Wengine waliambiwa:"It was just a matter of time. Sasa ulitaka usinisomeshe?" Huku mama yake akikenua meno kama ngiri!
Inaumiza kwelikweli!!
 
Uzi wa wasio na ela huu.....full kujiliwaza
Sio kweli ni muhimu mtoto apate elimu nzuri pia tujue tunazalisha kizazi cha aina gani kwa mtindo huu uliopo hatuwasaidii. watoto maana tumekuwa na watoto wa nadharia sana watoto ambao hawapendi kujishughulisha akitafutiwa kazi anakataa mtoto ambae hawezi kuwa baba imara au mama imara Toto lipolipo tu kama kuku wa. kisasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…