Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Kaa kwa kutulia Mkuu...Uhayani nako Pana yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa kwa kutulia Mkuu...Uhayani nako Pana yake
ULISIKIA wapi?Ila nasikia wachaga wa Rombo sio Palestinian! Sijui ni kweli hili! Wao wana roho nzuri,sio mbaya sana
Huyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa [emoji3][emoji3][emoji3]Mambo matamu ukweni
Uliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.
NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki.
**USISEME HUKUTAADHARISHWA MAPEMA.
[emoji1787][emoji1787]Bora uhonge mchepuko TU...Akuzalie mapacha
😂 😂Tena michepuko ya kerege inatoa twins ,acha nipate connection
Kwao kajenga pia?Huyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nilienda nikabaki nashangaa tu
Tunawezana wenyewe kwa wenyeweUliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.
NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki.
**USISEME HUKUTAADHARISHWA MAPEMA.
NOTE: Inasemekana antenna adimu Sana huko.
Doooh...Niseme Nini mieKwao kajenga pia?
Ulianzaje kusogea bafuni nyumbani kwa wakwe bila utaratibu? Ni bado mamamkwe wako hadi sasa?kuna siku nilimkuta mamamkwe bafuni anaoga kwa bahati mbaya ,daaa asee vagi lililotokea pale duuu sitosahau
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Safi ana roho nzuri.Huyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nilienda nikabaki nashangaa tu