BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
🤣🤣🤣🤣🤣Kisha azuke JF kuomba ushauri.
Kisha apige nao picha sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisha apige nao picha sio
Mgogo unaanzaje kuoa mchaga kwa mfano
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....We tuma NAULI...utajua huko hukoKumbe we ni dume!! Usije mie sio mshiriki wa mambo hayo!!!
Msina mahala naule...Tokori yakoMama Mkwe anataka pesa Shikamoo peleka kwenu huko Dodoma
KimenukaUliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.
NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki.
**USISEME HUKUTAHADHARISHWA MAPEMA.
NOTE: Inasemekana antenna adimu Sana huko.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....We tuma NAULI...utajua huko huko
Ukute ni wewe maana naye yuko humu I guess 80%Huyu jamaa ni mimi kabisa staki mazoea na familia yangu
Mi naziona hizi Dalili..za kwani Kaka yako akiumwa umeumwa Wewe?..Ukute ni wewe maana naye yuko humu I guess 80%
Basi anasema yeye kaoa mke tu hajaoa familia. Mke kwake sio ndugu ni life partner muda wowote anaweza kumuacha akaolewa kwingine ila ndugu zake atabaki nao. So anaishi na mkeww kama kutake risk.
Anakuambia kama ndugu wa mke walikua wanaishi vizuri kabla ya kumuoa mwanao basi hata alivyomuoa wanaweza kuishi vizuri. Hivyo wasitegemee msaada wowote toka kwake...kao mke tu sio ndugu au wakwe.
Jamaa anapoint ila kuzishika hizo sheria binafsi Yahitaji uwe unaujasiri wa kimasai kama alivyo masai.
Nikikumbuka module ya Respect Value kwenye Life skills basi naona yupo sahihi..maana kila mtu na Value zake
Yes Rombo wako vizuri, very hard working wanawake, wanaume wanapenda sana watoto kuliko mkeIla nasikia wachaga wa Rombo sio Palestinian! Sijui ni kweli hili! Wao wana roho nzuri,sio mbaya sana
Sio Rombo tu ila hiyo Empire Ndoa Ni for 'REPRODUCTION' only. Mengine ya kwako.Yes rombo wako vizuri , very hard working wanawake , wanaume wanapenda sana watoto kuliko mke
Wapalestina ni wachaga wa Machame, hawa jamaa hasa wa kike wana roho ngumu sana... Kwanza ni hustler wa hatari.....ila mkiwini anaweza kuku..excute anytime ....Sijawai jua..uhusiano wa wapelstina na Wachaga....nimesikia tangu mdogo..lakini sijui maanayake
[emoji23][emoji23][emoji23]Bora Mcpilipili alijiolea Mhaya[emoji3][emoji3]
Akatoa na chozi akikumbuka pesa alizoliwa na Manka.
[emoji41]Uhayani nako Pana yake. Tena mazito
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Mwamba Ngoma....[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nasikia wachaga wa Rombo sio Palestinian! Sijui ni kweli hili! Wao wana roho nzuri,sio mbaya sana
Mwananyamala sioNyinyi wakazi wa Komakoma mvua imenyesha saa ngapi? Mbona mafuriko?
Ndo utaratibuUkitaka kula lazima uliwe!