Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Nina Cousin (bamdo) wangu hapa Muarusha kaoa kanda ya ziwa. Jamaa bandidu kweli sijui guts anazitoa wapi.
Hataki ndugu yoyote wa mke aje kwake na akija akalale gesti sio kwake.
Anakuambia imeandikwa
"mke na mume watawaacha baba na mama na kuishi wenyewe" sasa hapo ndio anapojitetea[emoji38]
Waarusha kiboko...wakigeukaga ni watu hatari hasa kuchinja chinja na panga.

Btw, Waarusha, Wameru na Wachaga wanawezana kabisa, wameshare common values na wameishi closest kwa karne nyingi

Ila linapokuja suala la Mtu kutoka sijui Mafinga, sijui Kisarawe, sijui Lindi ukamuoe Mchaga hakikisha IQ yako ipo juu.

Ushauri Tu.
 
@invisible
😂😂😂😂 Hata kutag hujui,, hahahahahaha yani hahahahaha,, unahisi naogopa ban? Ya jf? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Mtag vizuri na hakikisha napewa ban ili unenepe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Niliwahi kumsitiri Shemej yangu na watoto watatu (3) kipindi ana matatizo kwenye ndoa Yake (makazi, chakula na pocket money) miezi 6 nilichoambulia kutoka kwa Mama mkwe siri yangu.

Sasa mkuu blessings, hiyo siri usipoitoa hapa JF ambapo wala hakuna mtu anaekufahamu, we unadhani utaitolea wapi? Mwaga siri hizo ili iwe fundisho kwetu na kwa wengine..!
 
Sina urafiki na mama mkwe maana namjua vizuri. Zaidi ya salamu na mambo mengine muhimu sina story nae kabisa. Watakuwa wameshanisema wee hadi sasa wamezoea I guess. Mazoeea sitaki kabisa
 
Sijawai jua..uhusiano wa wapelstina na Wachaga....nimesikia tangu mdogo..lakini sijui maanayake

Wapalestina ni wachaga wanaotokea Machame. Historia yao ni kwamba huko zamani kuliwahi kutokea vita kati ya wamachame na wachaga wengine nadhani wakibosho kama sijakosea.

Sasa wamachame wakashindwa ile vita na kwa sheria za zamani wanaoshinda vita wanajishindia pia wanawake wote kama mateka. Basi wale wanawake waliochukuliwa mateka wakaanzisha "secret society" na kuunda "pact" lengo kubwa likiwa ni revenge kwa kuwaua kwa siri wale wanaume waliowachukua mateka!

Mawasiliano yao walikua wanafanya kwa siri sana kwa kutumia VPN, end to end encryption na data srambling kiasi kwamba hawakuweza kushtukiwa, ila baada ya muda watu wakawa wanashangaa tu kila mwanaume aliechukua mateka baada ya muda anakufa katika mazingira ya kutatanisha, na hata forensic investigations zilipofanywa na CIA, homeland security, FBI nk, bado cause of death ili remain inconclusive! Basi ndio jina "wapalestina" lilipotokea na mpaka leo inaaminika ukioa mwanamke wa sehemu hiyo ipo siku tu atakutumbua utumbo.
 
Back
Top Bottom