Huyo naye ana matatizo, toka lini mama mkwe anakopeshwa!?
Sio mama Mkwe tu bali mwanamke yeyote hakopeshwi!! Kama huamini jaribu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo naye ana matatizo, toka lini mama mkwe anakopeshwa!?
Mkuu nilikuwa nmeelewa japo nilijikaza, bahati mbaya nilidindisha, kwa sasa sio mamamkwe hata salamu hamnaUlianzaje kusogea bafuni nyumbani kwa wakwe bila utaratibu?ni bado mamamkwe wako hadi sasa?
Kwakweli.... Mume na ampende mkeweSafi ana roho nzuri.
Mkuu...nikopeshe 50K...mshahara ukitoka nakurudishiaSio mama Mkwe tu bali mwanamke yeyote hakopeshwi!! Kama huamini jaribu!
Duh!!!mkuu nlikuw nmelewa japo nilijikaza,bahati mbaya nilidindisha,kwa sasa sio mamamkwe ata salamu amna
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa.Kwakweli.... Mume na ampende mkewe
HahahahahaaaaaaaaaaaaBora uhonge mchepuko TU...Akuzalie mapacha
Hapa kuna mtu kapigwa mdomo [emoji3][emoji3][emoji3]Bora uhonge mchepuko TU...Akuzalie mapacha
Mkuu...nikopeshe 50K...mshahara ukitoka nakurudishia
Sijawai jua..uhusiano wa wapelstina na Wachaga....nimesikia tangu mdogo..lakini sijui maanayakeWachaga ndio wanaitwa wapalestina..??
Ntumie NAULI.Njoo nyumbani uchukue mke wangu kasafiri!!
Ntumie NAULI.
Doooh... mwanaume Mgumu kama mkate wa kiisraeli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Chukua UBER nitalipa ukifika nyumbani!
Doooh... mwanaume Mgumu kama mkate wa kiisraeli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyu jamaa ni mimi kabisa staki mazoea na familia yanguNina Cousin (bamdo) wangu hapa Muarusha kaoa Msukuma. Jamaa bandidu kweli sijui guts anazitoa wapi.
Hataki ndugu yoyote wa mke aje kwake na akija akalale gesti sio kwake.
Anakuambia imeandikwa
"mke na mume watawaacha baba na mama na kuishi wenyewe" sasa hapo ndio anapojitetea[emoji38]
Aiseee KWELI..No free lunchUkitaka kula lazima uliwe!
Aiseee KWELI..No free lunch
Sio mama Mkwe tu bali mwanamke yeyote hakopeshwi!! Kama h
SureAiseee KWELI..No free lunch