Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Sio uchagani, ni muarusha ila matata sana na ni mlokole. Nimeshamjulia hanisumbui. Napiga kimya kila kitu nimebakiza salamu na kupeana taarifa muhimu basi.
Ha ha ha. Hapo utaishi kwa Amani. Huyo Mama yupo single mpaka leo?
 
Rafiki yako ni fala-z tu na wala sio ishu ya kabila ... angeweza kupigwa na manzi yeyote.

Ni mwanaume gani rijali anamkopesha mke wa mtu tena anayeitwa mama mkwe
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…