Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Wakwe na ukweni sio mahali pa kupazoea ovyo. Nenda huko kwa sababu muhimu na maalumu, wasiliana nao kwa sababu muhimu, sio kila siku unanyanyua simu kumpigia mama mkwe, kila holiday wewe ni kwa wakwe tu...

..halafu mkwe hakopeshwi, aliomba kiaina, hukujua ukatoa mkopo, pole sana!
 
Ukweni sio nishaapa hakuna ndugu wa mke atakuja na shida mm nitoe pesa yangu mfukoni kumpa kuna shemeji yangu dada wa wife alinionba nimkopeshe laki 1 atanirudishia baada kama ya siku 3 mbele ebwanaaeee nkaingia kingi nkampa ndo mpaka leo mwaka wa pili huu tena kajikausha kama hakijatokea kitu nkasema anhaaaa ook kumbe hivyo tu jambo dogo sanaaa tangu siku hiyo ndugu zake wife wote atakaeomba msaada wa kipesa basi anaambulia ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…