Usitake kumfunika boss wako, kilichomuondoa Makamba Wizara ya Mambo ya Nje

Usitake kumfunika boss wako, kilichomuondoa Makamba Wizara ya Mambo ya Nje

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Nimekuelewa vizuri sana, hasa nikikumbuka nafasi yako katika haya yote, pamoja na kwamba sioni kwenye maelezo Makamba alipom-'outshine' Samia!

Kinachoonekana wazi katika andiko hili ni kwamba, pamoja na mambo mengine ambayo bado hatuyajui, Makamba kachomewa utambi na hawa walioona kazi yao imeingiliwa.
 
..Maza uwezo wake ni mdogo.

..sasa atabadilisha wangapi kwasababu wamemfunika?
Nadhani kuna viashiria pia vya msuguano kati ya makundi..., hasa hili la WaZanzibari kuwafunika waTanganyika, hasa katika wizara hiyo ya Mambo ya Nje.
Wizara hiyo haijapata utulivu wakati wote tokea 'Chura Kiziwi' ashike madaraka. Hata Stergomena hakuchukua dakika ndani ya wizara hiyo.
 
Nimekuelewa vizuri sana, hasa nikikumbuka nafasi yako katika haya yote, pamoja na kwamba sioni kwenye maelezo Makamba alipom-'outshine' Samia!

Kinachoonekana wazi katika andiko hili ni kwamba, pamoja na mambo mengine ambayo bado hatuyajui, Makamba kachomewa utambi na hawa walioona kazi yao imeingiliwa.
Maisha ya kisiasa yana kupanda na kushuka. Yanapokuwa juu kunakuwepo na sababu ya haki kabisa ya kuwa juu na yanapokuwa mabaya pia kuna sababu zake za msingi za mtu kupitia siku mbaya.
 
Maisha ya kisiasa yana kupanda na kushuka. Yanapokuwa juu kunakuwepo na sababu ya haki kabisa ya kuwa juu na yanapokuwa mabaya pia kuna sababu zake za msingi za mtu kupitia siku mbaya.
Hiyo siyo siasa tu, ni hali ya maisha kwa ujumla wake. Maumbile ya binaadam wote.
 
Nadhani kuna viashiria pia vya msuguano kati ya makundi..., hasa hili la WaZanzibari kuwafunika waTanganyika, hasa katika wizara hiyo ya Mambo ya Nje.
Wizara hiyo haijapata utulivu wakati wote tokea 'Chura Kiziwi' ashike madaraka. Hata Stergomena hakuchukua dakika ndani ya wizara hiyo.
Makamba amekuwa na usumbufu wa chini kwa chini kabla hata Samia hajawa makamu ya Rais. Ni hulka yake ya kuwadharau wanaokuwa juu yake kimadaraka.

Nape ndio mtoto kabisa kichwani.
 
Makamba amekuwa na usumbufu wa chini kwa chini kabla hata Samia hajawa makamu ya Rais. Ni hulka yake ya kuwadharau wanaokuwa juu yake kimadaraka.

Nape ndio mtoto kabisa kichwani.
Kwa hawa, sina lolote la kutetea.
Lakini la kushangaza ni kwa vipi wanateuliwa kwenye nafasi hizo huku wakijulikana tabia zao? Nchi hii kweli inao upungufu wa watu wenye uwezo?

Je, na huko kwenye uteuzi kwenyewe, hakuna tunaloweza kulisema juu ya udhaifu ulioko huko?
 
Back
Top Bottom