Usitake kumfunika boss wako, kilichomuondoa Makamba Wizara ya Mambo ya Nje

Usitake kumfunika boss wako, kilichomuondoa Makamba Wizara ya Mambo ya Nje

Kwa hiyo hii ndo sababu ya kumtumbua??

Nyuzi zote unazoleta juu ya Makamba kumbe mna issues zenu binafsi ambazo hazina maslahi yeyote yale ya msingi kwa Taifa???

Kweli nchi hii ujinga ndo unatuangamiza.

Kumbe it's all about personalities na sio issues za msingi zenye maslahi ya nchi???

Kwa hiyo mwigulu anayesimamia uchumi wa nchi vibaya hadi saivi dola inapatikana kwa black market na imesababisha inflation yeye yuko sawa. Ila mtu anayejibrand ndo anakosa la kufanya atumbuliwe??

Mzungu alipomuita mtu mweusi nyani hakukosea kwa kweli!
Heshimu taratibu za uongozi unapopewa cheo siku zote. Kujifanya anajua kiasi cha kuingilia kazi ya mkurugenzi wa TCAA ni ushahidi wa kiongozi gani atakuja kuwa akipewa nafasi ya urais.

Mwigulu anaweza kustahili lawama lakini kuna kazi ya maana sana anayoifanya katika kumalizia miradi yote aliyoiacha hayati JPM.
 
Hakuna rais kati ya sita walioongoza Tanzania tangu uhuru ambaye awamu yake inashangiliwa akiwa bado yupo ikulu.

Kila Rais huitwa shetani akiwa ikulu na malaika akiwa keshastaafu. Ujinga na umaskini wetu tunadhani wa kumtupia lawama ni yule aliye ikulu.

..huu umasikini wa wananchi kila mahali tunatoa wapo uhalali wa kusifia uongozi wa Ccm, na wenyeviti wao?

..ukiangalia nguvu kazi iliyoko, changanya na rasilimali tulizobarikiwa, na utulivu wa wananchi wetu, Tanzania haikupaswa kuwa namna hii kiuchumi.

..bila shaka viongozi wetu na Ccm wametuangusha.
 
..huu umasikini wa wananchi kila mahali tunatoa wapo uhalali wa kusifia uongozi wa Ccm, na wenyeviti wao?

..ukiangalia nguvu kazi iliyoko, changanya na rasilimali tulizobarikiwa, na utulivu wa wananchi wetu, Tanzania haikupaswa kuwa namna hii kiuchumi.

..bila shaka viongozi wetu na Ccm wametuangusha.
Wewe mwenyewe umejiangusha mkuu,. hao wanaofanikiwa wanaishi katika Tanzania hii hii tunayoishi.
 
Mitano kwa Mama
Amalizie na hili lijamaa
 

Attachments

  • IMG-20240723-WA0008.jpg
    IMG-20240723-WA0008.jpg
    76.8 KB · Views: 4
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.

Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.

Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.

Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.

Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.

Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.

Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.

Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Tatizo la huyo mama Abdul inatakiwa ujifanye mjinga Sani ili usomi outshine, ni inept
 
Wengi hawakumwelewa JPM, muda ni mwalimu mzuri sana
Samia alitaka kumfurahisha Kikwete kwa kuwavuta marafiki zake karibu, kamtimua Makamba na Nape bila hata kusikiliza busara za Mzee wa Msoga.

Kwa ufupi Makamba kazingua na namuona akianzisha chokochoko kwa Samia mwakani kuelekea uchaguzi mkuu.
 
..wanaoingia ktk umasikini ni wengi kuliko wanaochomoka toka ktk umasikini.

..hicho ndicho KIGEZO KIKUU cha kuangalia kama sera za watawala zinafanya kazi au la.
Kumbuka kuna ongezeko la watu muda wote, ni tatizo la dunia nzima.

Sera za kuwatoa wengi kwenye umaskini zipo na zinafanya kazi.
 
Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.
Kaoteshwa kibri na yule babu wa Bumbuli, alitoa mabati kanisani kama zawadi akawaambia wakayachukulie ofisini kwa mbunge
 
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.

Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.

Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.

Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.

Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.

Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.

Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.

Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Babu hicho ni kiinim
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.

Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.

Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.

Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.

Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.

Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.

Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.

Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
kiinimacho tu, hawa hawagusi maslahi, wanagusa taadhima na busara. Kwenye maslahi hatumbuliwi mtu.

Mwigulu. Benki kuu hawawezi kuguswa, kule ndiyo maslahi happy!!
 
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.

Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.

Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.

Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.

Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.

Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.

Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.

Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Mama nae ana wivu ameona makamba atamnyang'anya urais 2025 akaona amtulize kwanza na si ajabu akamtupa mbali kabisa hata akampa ubalozi wa Quba ili amtenganishe na siasa alimradi asipate UPINZANI wa urais 2025
 
Rais Nyusi alipoenda kumuaga Rais Hussein Mwinyi,ikulu Zanzibar.Walifika na kuondoka kwenye gari Moja pamoja na Januari.
Imekaaje hii kiitifaki?
Je ni kujikweza au Kawaida tu wanasave gharama za mafuta wakaamua kutembelea gari Moja!
 
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.

Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.

Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.

Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.

Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.

Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.

Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.

Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.

Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.

Wazungu wanasema ' never outshine your master'.

imhotep ona siasa za kimaskini hapa. Ajabu na kweli hata wanakohimiza makamanda kukomaa, ni hivi hivi.

Bure kabisa!
 
Sio kweli. Ni mnyenyekevu asiyependa dharau za wasaidizi wake.

..uwezo hana anasingizia wasaidizi.

..tangu aingie ameteua na kutumbua Wakuu wa Usalama wanne.

..idadi sawa na wakuu wa usalama wakati wa Mwalimu Nyerere aliyeongoza miaka 24.
 
Back
Top Bottom