Usitarajie kuwa na ndoa imara kwa uzembe wako wa kwenda kuoa familia ya kiswahili swahili

Usitarajie kuwa na ndoa imara kwa uzembe wako wa kwenda kuoa familia ya kiswahili swahili

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
"Barnaba usijisahau kama umemuoa mtoto wa nani, unajua kabisa wewe ni mume wa mtu unaenda kupiga picha kama zile, umeweka mkono kwenye chup! ya mwanamke mwingine wakati unajua hiyo ni nguo ya ndani haitakiwi kushikwa hovyo unamaanisha nini?"

"Mbona video zingine unafanya vizuri tu kwa heshima na zinaenda kwanini hii? Hivi ninavyoongea Raya yuko nyumbani kwangu ameondoka kwa Barnaba, Barnaba video gani hii? Huna adabu unamchezea mtoto wangu"- Mama Kimbo, Mkwe wa Barnaba na Mwigizaji wa filamu Tanzania.

My take: Hawa ndio wamama wa kiswahili wanaoharibu nyumba za watoto zao, taasisi ya ndoa itaendelea kupigwa na Tsunami kama huyu ndio mzazi uliyetegemea amekulelea mke bora, hapo umekula hasara.
 
Unaweza kupata hasira kumbe Nandy, Yammi, Raya, Barnaba na mama mkwe unaemsema, wote wamekaa chini na management zao wakapanga mkakati wa kupush wimbo na kwa sababu wabongo wanapenda umbeya. Wakaona wapite humohumo kwa kuwapa bongo movie ya kuiongelea
 
"Barnaba usijisahau kama umemuoa mtoto wa nani, unajua kabisa wewe ni mume wa mtu unaenda kupiga picha kama zile, umeweka mkono kwenye chup! ya mwanamke mwingine wakati unajua hiyo ni nguo ya ndani haitakiwi kushikwa hovyo unamaanisha nini?"

"Mbona video zingine unafanya vizuri tu kwa heshima na zinaenda kwanini hii? Hivi ninavyoongea Raya yuko nyumbani kwangu ameondoka kwa Barnaba, Barnaba video gani hii? Huna adabu unamchezea mtoto wangu"- Mama Kimbo, Mkwe wa Barnaba na Mwigizaji wa filamu Tanzania.

My take: Hawa ndio wamama wa kiswahili wanaoharibu nyumba za watoto zao, taasisi ya ndoa itaendelea kupigwa na Tsunami kama huyu ndio mzazi uliyetegemea amekulelea mke bora, hapo umekula hasara.
Huo ni ushenzi siyo Uswahili, Uswahili ni ustaarabu uliokufundisha wewe nguo ni nini.
 
Tuone hio kideo ya mkono wa banaba kwenye kyupi
FB_IMG_1714732714067.jpg
 
Wa uswahilini hawanaga complications na wanaridhika ata wakila ugali tembele/dagaa kuliko watoto wa ushuani wapenda baga na pizza
 
Unaweza kupata hasira kumbe Nandy, Yammi, Raya, Barnaba na mama mkwe unaemsema, wore wamekaa chini na management zao wakapanga mkakati wa kupush wimbo na kwa sababu wabongo wanapenda umbeya. Wakaona wapite humohumo kwa kuwapa bongo movie ya kuiongelea
Umbeya❌
Umbea✅
 
Dah maisha ya ustaa ni mzigo wa mwiba wallah..Barnabas navomfahamu ni mwanamziki mtulivu sana miongoni mwa wasiopenda kiki na michoro kivilee kijana wa watu ameishi kibachela for a long..kuoa kwenye ile family ni mkosi ambao hakuutarajia..kazi yake inajulikana na alikua kushoot then nn kibaya kama sio familia micharo hz..kumbukeni jamaa alilipa mahari kubwa na harusi kubwa tuu..hao wanatafuta cha kumwagia.
 
Back
Top Bottom