Kwelii
au kwakuwasisi tunatumia TECNO na INFINIX ndo mana
Hii nchi kila kitu ni shida bado tuna safari ndefu sana kwa ujinga ujinga mwingi unaoendeleaVoda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au kwakuwasisi tunatumia TECNO na INFINIX ndo mana
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Yaan ni tabu tupu.Najaribu na Tigo hapa, shida ni hiyo hiyo.
"Huduma hii haipatikani kwasasa"...
Hivi wanajua hii shida kweli?