Usitegemee sana Lipa kwa Simu kwa Vodacom, Wakati wa Jioni! Utadhalilika

Voda Voda Voda!!

Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?

Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.

Kila ikifika saa Moja jioni.

Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.

Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Hii nchi kila kitu ni shida bado tuna safari ndefu sana kwa ujinga ujinga mwingi unaoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…