Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi uwe unakunywa bar ulizozoeleka mkuu 😀Kimeooo.
Nimestack mahali no way, nishahudumiwa sina cash!
I have to wait, hawa wadada washaona kama vile nawapanga niwatapeli.
Ilinikuta Arusha hii,naenda Mbeya,PUMA.Voda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Kabisa mwenyewe sina cash nimelipa 25 k in advance. Hapa nataka nikatafute cashKimeooo.
Nimestack mahali no way, nishahudumiwa sina cash!
I have to wait, hawa wadada washaona kama vile nawapanga niwatapeli.
Pumbavu zao niliwaamini Sana ila nimekwama Sana jioni hii.Nilikuwa nawalipa watu wananilalamikia Sana hii kampuni imekuwa ya kichokoVoda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
BalaaIlinikuta Arusha hii,naenda Mbeya,PUMA.
Aisee mafuta ya 175,000/= ,nimelipa kwangu hela imetoka wakajaza mafuta😀😀😀😀
Wanangalia simu hawaoni pesa,napiga Voda naambiwa subiri ndani ya saa 72,
Uzuri nilikuwa na balance Bank ikabidi nitoe nilipe.
Then niongee na Manager wa pale,sema walikuwa Waungwana sana..issue ikawa hela kurudishwa kwangu😀😀😀
Hili nalo wakalitazame!Voda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Hapo una bonge la kitu!
Asante kwa taarifaVoda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Hili suala pia lipo kwenye CRDB simbanking.Voda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Voda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania